concordile 101
JF-Expert Member
- Oct 13, 2013
- 6,314
- 14,356
Zitaje kama una uwezoStop your ignorance, you are stretching it… huna uwezo wa kujifanyia research?🧐
Zitaje kama una uwezoStop your ignorance, you are stretching it… huna uwezo wa kujifanyia research?🧐
Just two comments and you're starting to panic, will you be able to handle my music? 🤣 🤣 🤣 🤣Kanye ulale.
Wengine wetu tuna kazi hatushindi hapa mchana mzima 😂 😂
Wanaingia kwa kubipJust two comments and you're starting to panic, will you be able to handle my music? 🤣 🤣 🤣 🤣
Wewe huna TV nyamaza.Hii ndio kwanza naiona kwako mzee wa govi. 🤣🤣🤣 these are the common TV brands in Tz 👇🏾
Hisense
Samsung
Haier
TCL
LG
Sony
Kwasasa zinakuja sana ni hizi
Star X
Arborder
Alitop
Ailyons
Solamax
Kodtec (Hizi Ndio common brands in the whole of Tanzania).
Tuliza govi hilo. 🤣🤣
Achievement ya wakenya ni kuwa na tvHapo kwenye hiyo nimeshamiliki brands tatu tofauti sahii nipo Hisense bwana govi, labda kama wewe ndio huna TV. 🤣🤣🤣.
Last year si ulituonyesha TV ya 24”? Hile ilikuwa Yule mumama wako ama ya jirani?Hapo kwenye hiyo nimeshamiliki brands tatu tofauti sahii nipo Hisense bwana govi, labda kama wewe ndio huna TV. 🤣🤣🤣.
Umepanic. Kwa Tanzania issue ya TV ni kitu cha kawaida. Kwenu huko kenya mnaona anasa 🤣 🤣 🤣 🤣Wewe huna TV nyamaza.
Hicho kiswahili cha Mama NginaLast year si ulituonyesha TV ya 24”? Hile ilikuwa Yule mumama wako ama ya jirani?
Tanzania tv ni kwa ajili ya watoto , mpira tunaangalizia bar tukiwa tunabdalishana na mawazo baada ya KAZI hawa chokolii hata hiyo hela kuspend Kila siku wataitolea wapi lazima wakariri all types of tvsUmepanic. Kwa Tanzania issue ya TV ni kitu cha kawaida. Kwenu huko kenya mnaona anasa 🤣 🤣 🤣 🤣
Ndio maana Tanzania Brands ni nyingi sana za TV kuliko Kenya.
problem is, you not wanting it to be true has no effect on the reality ..Zitaje kama una uwezo
🤣🤣🤣👇👇👇👇 Sitaki mnipige mawe. Bango limesomekaThis is one of the biggest bike companies in Kenya today
View attachment 3307759
If it's true then mention those types of semiconductors you produce in kenyaproblem is, you not wanting it to be true has no effect on the reality ..
Kwikwi made in kenya
Imenishangaza sana. Kijana anaongelea ku own TV 🤣 🤣 🤣 🤣 Hii ni ajabu na kweliTanzania tv ni kwa ajili ya watoto , mpira tunaangalizia bar tukiwa tunabdalishana na mawazo baada ya KAZI hawa chokolii hata hiyo hela kuspend Kila siku wataitolea wapi lazima wakariri all types of tvs
Umri huu mwanaume kabisa nijadiliane eti namiliki tv gani wakati hata muda wa kuangalia sina. Tv tunanunua na hatuziangaliiImenishangaza sana. Kijana anaongelea ku own TV 🤣 🤣 🤣 🤣 Hii ni ajabu na kweli
Hayo ni mambo ya Dada wa Kazi ndiye anayejua TV gani bora. Mke wangu wala hajihusishi na kujua TV ipi ya kunuhuaUmri huu mwanaume kabisa nijadiliane eti namiliki tv gani wakati hata muda wa kuangalia sina. Tv tunanunua na hatuziangalii
Mimi wanajua watoto tu, maana Nina miaka sijawahi hata kuangalia kinachoendelea ila najua ikiharibika nanunua tuHayo ni mambo ya Dada wa Kazi ndiye anayejua TV gani bora. Mke wangu wala hajihusishi na kujua TV ipi ya kunuhua