Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Aren't you the same guys who said companies that make semiconductors duniani hazizidi 15? Kumbe moja yao ipo hapo Kariakoo?🤣🤣🤣
Ni mimi nilisema hivyo kijana na nilikutajia nchi zinazotengeneza Lithography. Kama upo tayari kujifunza nitakufundisha na uelewe semiconductor ni nini.
Mimi ni mtaalam wa ICT. Nilishasomea Electronicts na nipo kwenye Field.

Upo tayari kujifunza?

 
Aren't you the same guys who said companies that make semiconductors duniani hazizidi 15? Kumbe moja yao ipo hapo Kariakoo?🤣🤣🤣
Nani kasema kariakoo Kuna watu wanatengeza semiconductors ulicholeta ni microcontroller na zipo kibao tu kariakoo
 
Ni mimi nilisema hivyo kijana na nilikutajia nchi zinazotengeneza Lithography. Kama upo tayari kujifunza nitakufundisha na uelewe semiconductor ni nini.
Mimi ni mtaalam wa ICT. Nilishasomea Electronicts na nipo kwenye Field.

Upo tayari kujifunza?

Wewe ni jack of all trades humu, hilo tunajua. You are an engineer, mathematician, ICT guru, accountant, name it.

Back to the question... did you say there are no more than 15 companies making semiconductors in the world? Why didn't you tell us that one of them is found in Kariakoo?
 
Wewe ni jack of all trades humu, hilo tunajua. You are an engineer, mathematician, ICT guru, accountant, name it.

Back to the question... did you say there are no more than 15 companies making semiconductors in the world? Why didn't you tell us that one of them is found in Kariakoo?
Acha kuongea uongo mdogo wangu. Can you quote where I said Semiconductor Companies are found in Kariakoo?
 
Amekosa hoja anatafuta pa kupumulia haoni wenzake wote wamehepa
Kuna kitu sijui anakijua Wafer fabrication tools
Kwanza inatakiwa ajue Wafer ni kitu gani
1. Kuna Companie 9 pekee duniani zinazo manufacture Wafer, nitazitaja hapo baadae

Hii hapa ni Silcon Wafer

1744919060202.png


2. Wafer fabrication tools
Wafer fabrication tools are specialized equipment used to process silicon wafers into semiconductor chips

Sasa mtu anakuja na domo lake anatupigia kelele eti wanatengeneza Semiconductors ubavu huo wanao?
 
Campuni zinazo Manufacture Wafer Duniani ni:- Nicxie Njoo ujifunze hapa. Marekani mwenyewe hayumo

RankCompany NameCountryMarket Share (approx.)
1Shin-Etsu Handotai🇯🇵 Japan~30%
2SUMCO Corporation🇯🇵 Japan~25%
3GlobalWafers Co., Ltd.🇹🇼 Taiwan~17%
4Siltronic AG🇩🇪 Germany~10%
5SK Siltron🇰🇷 South Korea~10%
6Wafer Works Corp.🇹🇼 TaiwanSmaller share
7Ferrotec🇯🇵/🇨🇳 Japan/ChinaSmaller share
8Okmetic🇫🇮 FinlandSpecialized wafers
9MCL (Zhonghuan Semiconductor)🇨🇳 ChinaGrowing in market
 
You are wasting your time on those idiots.

View attachment 3307720
Hii hapa ndio List ya Companies zinazotengeneza Semiconductor Duniani. Tuoneshe just a Single Diode iliyotengenezwa kenya. Your leaders have misled you.

1744919852981.png


#KampuniNchiAina ya UzalishajiSehemu ya Soko (%)
1TSMC🇹🇼 TaiwanFoundry64.9%
2Samsung Foundry🇰🇷 Korea KusiniIDM & Foundry10%
3UMC🇹🇼 TaiwanFoundry6%
4GlobalFoundries🇺🇸 MarekaniFoundry6%
5SMIC🇨🇳 ChinaFoundry5%
6Hua Hong Semiconductor🇨🇳 ChinaFoundry2%
7Tower Semiconductor🇮🇱 IsraelFoundry1%
8Vanguard (VIS)🇹🇼 TaiwanFoundry1%
9Powerchip (PSMC)🇹🇼 TaiwanFoundry1%
10Nexchip🇨🇳 ChinaFoundry1%
 
Kuna kitu sijui anakijua Wafer fabrication tools
Kwanza inatakiwa ajue Wafer ni kitu gani
1. Kuna Companie 9 pekee duniani zinazo manufacture Wafer, nitazitaja hapo baadae

Hii hapa ni Silcon Wafer

View attachment 3307718

2. Wafer fabrication tools
Wafer fabrication tools are specialized equipment used to process silicon wafers into semiconductor chips

Sasa mtu anakuja na domo lake anatupigia kelele eti wanatengeneza Semiconductors ubavu huo wanao?
Ugua pole bongolala 😂😂😂
IMG_20250417_230009.jpg
 
Back
Top Bottom