Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,915
- 103,782
kama kawaida yenu lazma mtembee na nyota ya vivutio vya Tanzania! Mbona msiite Lenana or Nelion or Batian?This is one of the biggest bike companies in Kenya today
View attachment 3307759
kama kawaida yenu lazma mtembee na nyota ya vivutio vya Tanzania! Mbona msiite Lenana or Nelion or Batian?This is one of the biggest bike companies in Kenya today
View attachment 3307759
Angalia vizuri utaelewa. Yule wa kwanza hakukua na kampeni za nguvu hivi. Why huyu?
What specific part of bike you is manufactured in Kenya ? Hivi wakunya mnakiwaga wajinga wakati wote ?Kwa hivyo Kwa pikipiki ni engine pekee hua manufactured?😄
Wanaona ni big issue kumbe kitu kidogo tu. 😂😂😂
View: https://youtu.be/zrvfWGRIumw?si=CXJOBoMpBuIuR36d
Vitron imejaa Tanzania kuliko any other brand.
View: https://x.com/Baraka_D_/status/1910294597617570274
Alafu who told you Vitron is Indian?
View attachment 3307749
Watanzania tunawatumia vzr wachina na wanatupa ujuzi kweli kweli, kule Kenya wachina wanaonwa kama miungu watu na wanaogopwa kabisa, sehemu za ujuzi mkenya anawekwa mbali kabisa na ikibidi anachapwa fimbo na mchina asisogee kabisa, huku kwetu mchina na mbongo wote wanafanya kazi pamoja na kwa urafiki mkubwa that's why it's easy for Tanzanians to adapt technology from Chinese people.
chinnese company naona inafanya vzr sana africa kuliko tesla 😂😂😂😂Since BYD opened a show room in Nairobi there’s been lots of these on the streets View attachment 3307760
huyu kawafungua sana macho wakenya mpaka wamepatwa na ubaridi humu ndani 😂😂😂😂😂😂
View attachment 3308176
Tayari keshaelewa somo 👆👆🤣🤣🤣🤣🤣🤣Inawauma sana, wakifika Kwa assembling sisi tuko kwa full manufacturing. They are always playing catch-up.
So, hii ndiyo semiconductor mnatengeneza?Again, ugua pole 🤣🤣🤣View attachment 3307615
Acha ujinga which CAF Cup you won.Sasa unafikiri hii kelele yako itabadilisha chochote? CAF records recognizes that sasa wewe hata ukiamua kupiga kelele hapo Tandale will that change anything?
Wewe ndio akili yako ni mbaya hii sio Vitron hile ya TV’s, mbona usituonyeshe products wanaoproduce tukucheke, ama unaogopa sababu unajua they don’t produce TV’s?ila akili zenu nyinyi zimejaa chumvi mawe😂
View attachment 3308161