Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

He is not conned he has the financial muscle to turn it around unlike you guys mlikula kampuni yote kwa ufisadi. In business the principle is buy low sale high be it shares in a company or any asset hicho ndicho kilichofanyika hapo.
Uzuri amekula loss in his first year.
 
 
nairobae I challenged you to mention a single product manufactured in Kenya that isn't manufactured in Tanzania
Nakumbuka nilipoenda kubeba clay roofing tiles za nyumba yangu hapo Ruiru niliona lori nyingi sana za Bongolala na Uganda zikija kuchukua mzigo. Hapo nilielezwa hamna kampuni inayotengeneza clay roofing tiles huko. Hii picha niliipiga mwenyewe.
WhatsApp Image 2025-04-17 at 12.24.56_a3731e81.jpg
 
Wakenya wanaimport nguo through kariakoo kisa huku kumepigwa marufuku mtumba kupitia Mombasa. Same way Wakenya wakitaka kumimport gari mzee za 15 years wanaimport through Uganda ama Tanzania na Wana register huko huko.
Tanzania hawavai mitumba mzee. Kariakoo yote hakuna mtumba hata mmoja. All Brand new
 
Nakumbuka nilipoenda kubeba clay roofing tiles za nyumba yangu hapo Ruiru niliona lori nyingi sana za Bongolala na Uganda zikija kuchukua mzigo. Hapo nilielezwa hamna kampuni inayotengeneza clay roofing tiles huko. Hii picha niliipiga mwenyewe.
View attachment 3307223
Hata window panels for cars hawatengenezi.

1744882558936.jpeg

1744882601196.jpeg

1744882629140.jpeg

1744882658862.jpeg
 
Yani boarding a bus ndio inakufanya uropokwe haya yote? Enyewe Vumbistan mko nyuma. No wonder Kuna mmoja we alipanda basi kuenda Moshi hatukupumua humu.😂
Sijaiona Mkenya anafurahiswa kupanda buses Kama hawa wachawi. Ni Kama wengi wao wametoa kijijini ndani penye hakuna hata barabara pikipiki, so wakipata chance ya kupanda gari wanafurahia kweli kweli😂😂
 
Showbiz ya Tanzania imeingia Nigeria Huku East Africa tumetawala sasa tunaingia West Africa. Swahilization The West Africa

The African Royal Wedding

✨East Meets West✨

Countdown to the Traditional wedding!!!

JUX & Priscilla Ajoke Ojo

1744884298551.png


1744884370957.png
 
Wakenya wanaimport nguo through kariakoo kisa huku kumepigwa marufuku mtumba kupitia Mombasa. Same way Wakenya wakitaka kumimport gari mzee za 15 years wanaimport through Uganda ama Tanzania na Wana register huko huko.
Sio Tu nguo mna import from Tanzania bali hata viatu, mabegi, chupi, cosmetics etc je hivyo vyote ni vya mtumba? Govinda mwenzio mnuka mavi aliomba aoneshwe machimbo ya chupi, unataka kusema alitaka chupi za mtumba? Ukishindwa kubali wacha propaganda za kizamani, kwanza Mme ban lini nguo za mtumba wkt report zmetoka mnaongoza kutumia nguo za mtumba duniani.
 
Back
Top Bottom