Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Viti vipya 62K au nimesikia vibaya!
Kuanzia leo ieleweke kwamba Mkapa stadium ina capacity ya 62k na sio 60k, jilani tabu haziishi, alidhani ametujibu kwa uwanja wa 60k kumbe Mkapa ina 62k 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
1744652390864.jpg


1744652391124.jpg




Dodoma hii, Wakenya Tanzania tuliamua kujenga Mji from scratch
 
Back
Top Bottom