06 April 2025
Nairobi, Kenya
FRANCIS ATWOLI - NAIROBI NI JIJI CHAFU KULIKO YOTE AFRIKA MASHARIKI
View: https://m.youtube.com/watch?v=jQJIpM_EDb8
Kigogo wa COTU shirikisho la vyama vya wafanyakazi nchini Kenya, Bw. Francis Atwoli ambaye anasema yeye ni mtoto wa mjini aliyekulia, kusoma na kula starehe zote mjini Nairobi miaka ya 1960s mwishoni na 1970s wakati Nairobi ikijulikana kama London ya East Afrika amesikitika kuona jinsi jiji la Nairobi lilivyooza, kutoa uvundo na harufu mbaya, matatu za SACCOS zikiziba njia, vibaraza (pavement) za barabara tajwa jijini kugeuka soko la Kikomba barabarani la wachuuzi, mama mboga Wanjiku n.k ...