Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Gari za china electric SUV zimeshaanza kuonekana bongo mitaani huko watu wanamiliki. 👇🏾. Hii hapa deepal S07 2024. View attachment 3295289View attachment 3295290👇🏾
View: https://www.instagram.com/reel/DH9awwXMl-x/?igsh=MTBvaG11YmxjaW9iYw==.

Design mko nyuma bro, mnafurahia kuona ligari moja kwa barabara when in Kenya walifungua showroom kitaambo, probably hio gari inenunuliwa huku 😂😂
IMG_3608.jpeg
IMG_3609.jpeg
IMG_3611.jpeg
IMG_3610.jpeg
 
Design mko nyuma bro, mnafurahia kuona ligari moja kwa barabara when in Kenya walifungua showroom kitaambo, probably hio gari inenunuliwa huku 😂😂
View attachment 3295315View attachment 3295317View attachment 3295319View attachment 3295322
Changan auto kumbe ni show room ya Deepal na hatuambiwi jamani.? 🤣🤣🤣🤣 Changani auto Tanzania 👇🏾. Login • Instagram. 👇🏾.
View: https://www.instagram.com/reel/C7JYyNCuWK9/?igsh=MTJxcHBxMTB5NGl3dw==.
 
Govinda umeathirika na ma slums ukajua hayo pia ni ma slums, hiyo ni smart city hairuhusu makazi holela kama Nairobi au Mombasa, nmekuvutia picha jionee bati nyekundu hizo 😘😘🥰🥰😍😍View attachment 3295190
Kumbe kimoyomoyo mnazitamani sana hizi bati nyekundu ila uwezo ndio hamna 🤣🤣🤣🤣

images - 2025-04-07T000455.543.jpeg
images - 2025-02-15T232351.106.jpeg
images - 2025-02-09T013302.420.jpeg
images (61).jpeg
images (59).jpeg
Screenshot_20231114-201937_045903.png
Screenshot_20231114-201923_045909.png


Bati nyekundu Dar 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Screenshot_20241018-172316_043913.png
images (73).jpeg
images (64).jpeg
Screenshot_20241125-151803_043536.png
 
Kwa hivyo mlikua munajaribu kucopy hii. 🤣 🤣 🤣 Poleni it flopped. Hio yenu ni msikiti.
Hawa watu Mimi huona Wana projection kubwa sana. Kila siku ati ooh wazungu mabwana zenu yet wao ndio wale wale wanaotafuta validation ya Mzungu kuliko yeyote Africa. Muone huyu hapa.👇🏾👇🏾
Nyie si mnapenda kutukuza wazungu, haya huyu hapa Youtuber mkubwa kabisa amezunguka nchi zote duniani likiwemo bara zima la Africa hapa ana rank nchi zote za Africa from best to worst

View: https://youtu.be/7QBOfrwkWBU?si=QiehvrkHWaqJ3sG5
 
Nyie wakenya ni washamba sn sasa hiyo ni pesa ya kuja kulingia huku? No wonder wachezaji wenu wana maisha magumu sn.
"Kulingia" ndio kisukuma au ndio kinyamwezi?

Wewe tuonyeshe gate collections za timu zenu tuone
 
Em itoe hiyo kenya hapo katikati, hili litakataka umeachiwa urithi na mkoloni. 🤣🤣🤣. Unaleta mijumba ya karne ya kale kama reference yako, hizo courts unaona hapo zina resemble culture zao katika ujenzi? 🤣🤣🤣 👇🏾 sahii court zinajengwa kisasa. 👇🏾. Unajua wapi hiyo.?View attachment 3295281hii je .? 👇🏾Singapore supreme courtView attachment 3295283View attachment 3295284we nowdays consider modernity sio hizo structures za wazungu. 🤣🤣
Ukilaza haitakuacha wewe!

Eti "we nowdays consider modernity sio hizo structures za wazungu" wakati unaniletea mifano kutoka Singapore!! Kwa hivyo Singapore ni nchi ya wazaramu kutoka Tanganyika?
 
Ukilaza haitakuacha wewe!

Eti "we nowdays consider modernity sio hizo structures za wazungu" wakati unaniletea mifano kutoka Singapore!! Kwa hivyo Singapore ni nchi ya wazaramu kutoka Tanganyika?
Govinda ile battle yetu vp?
 
Nafurahi kuona watanzania hawawajibu kuhusu soka cz we aren't the same, tumewapita mbali kwenye soccer la vilabu mpaka national team, hatutawajibu kwasabu kwanza wachezaji wanalipwa pesa mingi kuliko nchi nyingi za hapa Africa, hatuwajibu kwenye soka, endeleeni kupiga kelele ila hatutowajibu.
National team tunawapiga kama burukenge Kila siku!

Vilabu ambazo vilabu zetu zimegeuza wake zao.

Wewe ni kama unaishi dunia nyingine.
Hebu tuletee gate collections za timu zenu uache kutupigia kelele hapa na kutafuta pa kutorokea
 
National team tunawapiga kama burukenge Kila siku!

Vilabu ambazo vilabu zetu zimegeuza wake zao.

Wewe ni kama unaishi dunia nyingine.
Hebu tuletee gate collections za timu zenu uache kutupigia kelele hapa na kutafuta pa kutorokea
Hebu leta statisctics za fifa na CAF basi tuone mlipo. 🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom