Sisi kimpira sio level ya EA hii mzee. 👇🏾
View: https://youtu.be/AEBJ99gZdEs?si=cfNW_2yey5dYOQ2Q. 🤣🤣
AFCON finals in Kenya will be way better than this.
Sisi kimpira sio level ya EA hii mzee. 👇🏾
View: https://youtu.be/AEBJ99gZdEs?si=cfNW_2yey5dYOQ2Q. 🤣🤣
Heb angalia huo uwanja ni full house halafu watu nje ni kama wote tu. 👇🏾.
View: https://youtu.be/nFetfjzuT8w?si=r9UmSGjDHwUmOme5. Hivi ni vitu tumeshazoea ndio mana hatupost. 🤣🤣🤣 sasa nyie mmjeingiza shabiki 17k mnatupigia kelele. 🤣🤣🤣
🤣🤣 unaota bado.? 🤣🤣🤣🤣. Kuna Bars tuli set kwenye mpira wa vilabu EA ambazo kwa kitaifa kidogo kama nyinyi itawawia vigumu kuzifikia. Angalia hii ni Simba day last year. Cheki wshangwe la watu, kwanza wasafii, wazurii. 🤣🤣👇🏾.AFCON finals in Kenya will be way better than this.
Match buildup, the best football atmosphere in EA.
View: https://x.com/TemperCR7/status/1906285140491243835
Hizi nivitu tulikua tuunafanya hata kabla mjue mpira ni nini, we are back to take our spot in football. Mkae kando sasa.Kwa hizi moments Bongo zipo kama zote nitajaza huu uzi nikiamua kuzipost. 🤣🤣🤣.
Ulifkiri ni kama kula githeri.?🤣🤣🤣. Yani ulale uamke uwe bora.?Hizi nivitu tulikua tuunafanya hata kabla mjue mpira ni nini, we are back to take our spot in football. Mkae kando sasa.
🤣🤣🤣 vitu kama hivi mtaviota tu ndotoni. 👇🏾.This is football
![]()
![]()
🤣🤣🤣 vitu kama hivi mtaviota tu ndotoni. 👇🏾.
View: https://www.instagram.com/reel/CvoyrqZMmxT/?igsh=MXNsdDMzeGcxZmpwMA==.
Hii Tanzania inayoongoza kwa umaskini ukanda huu and currently with the world's worst performing currency ama kuna Tanzania nyingine?Tanzania inakuuma eeh.? 🤣🤣🤣
Now you are back to numbers eh!😂😂Full capacity ya huu uwanja ni 20k seaters, where by mechi ya juzi ulifika watu 17k seaters. 🤣🤣🤣
Sasa ngoja nikuongezee maumivu. Miradi yote mikubwa unsyoiona tunaifanya 95% wokers ni Tanzanians. 🤣🤣🤣 yaani kwa maneno mengine, kama tutarudia kuijenga tena, basi watanzania wazawa watajenga wenyewe. 🤣🤣🤣Hii Tanzania inayoongoza kwa umaskini ukanda huu and currently with the world's worst performing currency ana kuna Tanzania nyingine?
Feast your eyes, how Gor usually rapes Tanzanian top teams.
View: https://youtu.be/6HNe6cLxN9M?si=31tsWsNyUciGIbQC
Dawa imeingia ipasavyo!Hahahahahaaa aloo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kumbe kuna free entry na hatuambiwi. 🤣🤣🤣. Anyways viingilio vilikua hivi. 👇🏾Free entry, lakini Bado jamaa wameboeka, kwani wanataka Nini au hawajakula 😂😂
95% ya kutoa mat*Koni. Can you prove this claim?Sasa ngoja nikuongezee maumivu. Miradi yote mikubwa unsyoiona tunaifanya 95% wokers ni Tanzanians. 🤣🤣🤣 yaani kwa maneno mengine, kama tutarudia kuijenga tena, basi watanzania wazawa watajenga wenyewe. 🤣🤣🤣
Unataka ni prove kwenye miradingapi.? Chagua. 🤣🤣🤣95% ya kutoa mat*Koni. Can you prove this claim?
Umesikia hao waliojaza uwanja ni wasukuma au wanyamwezi?Sasa huu uchochole hata 20k wanaingia kweli? Mkunya yupi atoe hela ya 2 kilos of unga?
The burden of proof lies with you bongolalaUnataka ni prove kwenye miradingapi.? Chagua. 🤣🤣🤣