NDINDA
Platinum Member
- Apr 4, 2011
- 10,747
- 49,633
πππππππππππππππkipindi kile nilifinya nikaskia busha zimekua za moto kama pasi ya makaaππ
alaf ajabu busha zao zimekomaa kama nazi mzee
πππππππππππππππkipindi kile nilifinya nikaskia busha zimekua za moto kama pasi ya makaaππ
alaf ajabu busha zao zimekomaa kama nazi mzee
Wapi hizo viwanja 4 unaongelea?ππVinatakiwa Viwanja 6, Tanzania inaviwanja 4 vyote vya kimataifa
Dar es SalaamWapi hizo viwanja 4 unaongelea?ππ
Ebu nionyeshe hizo Stadiums za Dodoma na Arusha tuone.ππDar es Salaam
Arusha
Sodoma
Zanzibar
Kariakoo ni disaster. Bodaboda na bajaji wanapark na kupita kila mahali. Msimbazi street sio poa aisee.Dar es Salaam ya Amos Makala ilianza kuvutia ikawa safi,biashara zilianza kuwa za mpangilio ila alipokuja Chalamila dash mambo yamebadilika ghafla
Tent wakati hamna stadium iko fully covered Ukunyani?Ebu nionyeshe hizo Stadiums za Dodoma na Arusha tuone.ππ
Alafu hile Tent ya Zanzibar usitaje place stadiums za maana zinatajwa. Tanzania only have Makwapa Stadium as of now.
Hiyo Tent ya Zanzibar hata haiwezifikia Kirigiti and Kinoru Stadium which are fully covered.Tent wakati hamna stadium iko fully covered Ukunyani?
Sikutajii; nione utafanya nini wewe nyangβauπππEbu tutajie one Tanzanian company in Kenya.