Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

toa yako usiscreenshot . kama huna basi huna jurisdiction yoyote ya kungea maana hujui hata maana documents zozote znazohitajika kufanya biashara,.
Who claimed to have business between me and you? Ama unasahau ni wewe ndio ulikuwa unajitambaa hapa ati uko ja biashara?😂😂🤣
 
ila ndo nahangaika nazo kila siku ilawewe huna hata hiyo moja ya kuuza hata mkaa. na huna hata kazi
Huna biashara. There is no way unaezakuwa na biashara alafu ukose kujua ati business permit ni nini😂😂
 
Who claimed to have business between me and you? Ama unasahau ni wewe ndio ulikuwa unajitambaa hapa ati uko ja biashara?😂😂🤣
1743165496442.png

leta evidence ya wew kuingiza hii hela per day
 
Do you understand English? What does adding something to the investment mean?

Kumbe naongea na kichaa mwenye hata hawezi Elewa kingereza😂😂
invest ni kuwekeza.
iko hvi kuna sehemuumepata pesa letsay hiyo 75k ukaend kununua bond ya 75k , sas sisi tunataka tujue umepapataje hio 75k per day kama huna biashara au kazi . kama unakazi pot mkataba wa kai kukuingizia 75k per day
 
Tanzania only have one company with a revenue above $1B. I’m sure hii ni yule mwarabu.

View attachment 3285792
Ila cha ajabu export value ya Tanzania hamtokaa muifikie hata mjitoe photocopies 200, sasa hayo makampuni ya kazi gani kama hakuna yanachoexport wala kuzuia over importation? 😂 Hapo ndio unajua ni data za uongo
 
invest ni kuwekeza.
iko hvi kuna sehemuumepata pesa letsay hiyo 75k ukaend kununua bond ya 75k , sas sisi tunataka tujue umepapataje hio 75k per day kama huna biashara au kazi . kama unakazi pot mkataba wa kai kukuingizia 75k per day
Pole kwako. I invested 75k kwa MMF today. So ukipenda ulie, ukipenda ucheke.
 
Ila cha ajabu export value ya Tanzania hamtokaa muifikie hata mjitoe photocopies 200, sasa hayo makampuni ya kazi gani kama hakuna yanachoexport wala kuzuia over importation? 😂 Hapo ndio unajua ni data za uongo
Export value ya Tanzania ya gold ya wazungu ama?
 
Hizi hasira zote ni kwa sababu nimekushinda ukidanganya?😂😂🤣😂
mimi nina evidence wewe huna.
mimi ina operational licence ila wewe huna.
mimi nina kituo cha kazi au ofisi ya kuniingizia kipato na nin uwe wakwenda nikapiga picha popote ila wewe huna.
 
Back
Top Bottom