chongchung
JF-Expert Member
- Jun 23, 2013
- 14,304
- 45,098
Siku hizi hawataki kabisa kusikia Habari za battles 😂😂 sio kama zamani walikua wenyewe wanaforce battles, saivi ukiwaambia battle wanavanish kama spirit wameshajiona walipo.Kuna mmoja nimemuomba tuanzishe battle ya kuonyesha slums za dar na nbo,kakimbia Nicxie