Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

So tukisema Nairobi based kuna shida? Ama hujui maana ya Nairobi based? Alafu unanimity mjinga while hata secondary school ndio hukufika.
sasa kama sijafika uliwahi muuliza mamako nilimpaje ujauzito tena akiwa kama yaya pale lukenya academy
 
Bank iko Kenya ama haiko Kenya?
sio ya wakenya kwa sababu haiko kwenye control ya cbk, haideposit any amount kwa cbk. all in all cbk haina usemi kwa hiyo bank
1743106640343.png

sasa hao ndo wamiliki wa hiyo benk, kwahiyo usijifie eti benki ya kenya imetoa mkopo balihiyo benki inamilikia na karibi nchi zoote zilizoko africa a cntral bank yake iko bunjumbura
 
sio ya wakenya kwa sababu haiko kwenye control ya cbk, haideposit any amount kwa cbk. all in all cbk haina usemi kwa hiyo bank
View attachment 3285323
sasa hao ndo wamiliki wa hiyo benk, kwahiyo usijifie eti benki ya kenya imetoa mkopo balihiyo benki inamilikia na karibi nchi zoote zilizoko africa a cntral bank yake iko bunjumbura
Bank iko Kenya. So serikali yenu iliomba pesa kwa bank ya Kenya, full stop😂😂
 
Back
Top Bottom