Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

hii hapa ndio nataka kuona unabadilisha gear angani 😂😂😂😂😂😂
View attachment 3284175
Afadhali mimi nakuletea magari zenye ziko na number plates za Kenya. Wewe, on the other hand, unatuletea magari ambazo hazina hata plate numbers na kusema ni za kwenu! Saa Kati yangu na wewe nani aaminiwe?
 
Afadhali mimi nakuletea magari zenye ziko na number plates za Kenya. Wewe, on the other hand, unatuletea magari ambazo hazina hata plate numbers na kusema ni za kwenu! Saa Kati yangu na wewe nani aaminiwe?
lakini zinaoneka zikiwa tanzania 😂😂😂
nioneshe ww ikiwa kenya, plate number hata mm naeza chukua nikaenda UK nikabandika alaf nikapiga picha ni simple mbona 😂😂😂😂😂😂😂
 
Nikisema hio page ya IG hupost gari za uongo from other countries wanajam. Sasa ona hii Ferrari ya Kenya wameitoa plates alafu anadanganya mafala from bongoslum. Hadi amwewakea owner. 🤣 🤣 🤣 🤣


View: https://www.instagram.com/p/DHnyphZtg1q/?utm_source=ig_web_copy_link&igsh=MzRlODBiNWFlZA==


Evidence kwa kalatas. 🤣🤣🤣


View: https://x.com/_waigera/status/1869645944939332018


onesha wapi kasema ni ya tanzania huyu anapost gari za africa nzima ikiwa iko tanzania atakwambia ni ya tanzania na ikiwa kenya hua anasema ya kenya so wewe unataka adanganye??? wakat anapost mpaka gari za kina davido etc😂😂
 
onesha wapi kasema ni ya tanzania huyu anapost gari za africa nzima ikiwa iko tanzania atakwambia ni ya tanzania na ikiwa kenya hua anasema ya kenya so wewe unataka adanganye??? wakat anapost mpaka gari za kina davido etc😂😂
Ju huyo ameandika kama owner ni mkenya sio? Nimekuambia sisi sio mafala.
 
onesha wapi kasema ni ya tanzania huyu anapost gari za africa nzima ikiwa iko tanzania atakwambia ni ya tanzania na ikiwa kenya hua anasema ya kenya so wewe unataka adanganye??? wakat anapost mpaka gari za kina davido etc😂😂
Mbona ametoa number plate na aka blur background if he got nothing to hide? Unadhani hatujui tactics zake. Fala sana. 🤣 🤣 🤣
 
Nikisema hio page ya IG hupost gari za uongo from other countries wanajam. Sasa ona hii Ferrari ya Kenya wameitoa plates alafu anadanganya mafala from bongoslum. Hadi amewawekea owner alafu ana edit background ndio watu wasishikanishe. 🤣 🤣 🤣 🤣


View: https://www.instagram.com/p/DHnyphZtg1q/?utm_source=ig_web_copy_link&igsh=MzRlODBiNWFlZA==


Evidence kwa kalatas. 🤣🤣🤣


View: https://x.com/_waigera/status/1869645944939332018

tena kaandika mpaka owner 😂😂😂😂
huyu anapost gari za africa nzima wapi kasema ni ya tanzania


IMG_5487.jpeg
 
Mbona ametoa number plate na aka blur background if he got nothing to hide? Unadhani hatujui tactics zake. Fala sana. 🤣 🤣 🤣
kutoa number plate kuna watu hawapendi gari zao zionekane na number plate kwa ajili ya usalama, huwez kua na exposure ya mambo haya wakat umelala na mbuzi makuru kayaba 😂😂😂😂
 
huyu anapost gari za africa nzima mpaka za kenya hua anapost lakini ww nikama umeumia tu bila sababu 😂😂😂😂

na ikiwa ya tanzania anaandika kabisa tanzania 😂😂😂😂
Huyo tumemzoea kwa uongo. He can't fool us, sisi sio bongolala kama nyinyi.
 
Eti should pastor's drive V12. 🤣 🤣 🤣 Mbwa hata hana aibu, hio gari ni ya mkenya. Huyo pastor wenu from bongolala does not own a Ferari.
hvi wewe unaelewa kiswahili kweli😂😂😂

hebu mtaje huyo mkenya sasa 😂😂
 
Back
Top Bottom