Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hizi hununuliwa brand new zero mileage sio kama hizo Coaster mitumba munaimport za miaka 20 to 30, alafu munakuja kuziongeza viti bandia ndio zibebe excess.
Eti brand new, wakenya bhn🤣🤣🤣🤣🤣
 
Air Tangangiza aka watu wa ndege za cash will never make profits in their life time.

The Kenya Airways
Image
Mnajiongopea wenyewe, tena mnaongopewa ninyi ambao hampo kwenye hii industry ya aviation, KQ ndiyo ndege #1 pengine Africa nzima kwa kuwa na ma delays na ma cancellation, hiyo profit inapatikana wapi? Shirika limepoteza reputation yake kwa abiria kiasi cha kwamba ni ndege inayoonekana as not reliable plane, faida inatoka wapi? Au ndiyo yale yale ya 3 digit economy alafu mnashindwa hata kujilisha since uhuru?
 
Those are Isuzu NPR and are bought at zero mileage at Isuzu East Africa Assembly Plant in Nairobi. They are literally introduced to Kenyan roads at 0 years old.
Wakenya bhn, kwa jinsi ulivyoiongelea utadhani hatuzijui, yn umejisahau kabisa kwamba hii thread ipo tangu 2017, hizo buses ni scrap hata kabla ya kutumiwa, no wonder mnajiuzia wenyewe hapo hapo.
 
This bullish rally is supported by fundamentals unlike yours sanasana around February next year itafanya consolidation na kuendelea na bullish trend.
🤣 🤣 🤣 Mtu wa supported by fundamentals, leo tuko March. Welcome to the world's worst performing currency. 🤣🤣🤣

Image
 
Mnajiongopea wenyewe, tena mnaongopewa ninyi ambao hampo kwenye hii industry ya aviation, KQ ndiyo ndege #1 pengine Africa nzima kwa kuwa na ma delays na ma cancellation, hiyo profit inapatikana wapi? Shirika limepoteza reputation yake kwa abiria kiasi cha kwamba ni ndege inayoonekana as not reliable plane, faida inatoka wapi? Au ndiyo yale yale ya 3 digit economy alafu mnashindwa hata kujilisha since uhuru?
Watchman punguza emotions, wewe hauko kwa aviation industry. Wewe uko kwa security industry.
 
Kumbe gongo la mboto is a real place, i always assumed it was a fairy tale 😂😂😂😂
Nadhani umejionea mwenyewe infrastructure inayoelekea Gongo la Mboto ikoje kwenye hiyo picha.
 
Mnajiongopea wenyewe, tena mnaongopewa ninyi ambao hampo kwenye hii industry ya aviation, KQ ndiyo ndege #1 pengine Africa nzima kwa kuwa na ma delays na ma cancellation, hiyo profit inapatikana wapi? Shirika limepoteza reputation yake kwa abiria kiasi cha kwamba ni ndege inayoonekana as not reliable plane, faida inatoka wapi? Au ndiyo yale yale ya 3 digit economy alafu mnashindwa hata kujilisha since uhuru?
Tangangiza Roho chafu 😅 😅

KQ.JPG
 
The most free floating currency in EA after Ugandan Shillings.
As if it's a bad thing, just like all major forex pairs our currency is free floating, which means it's purely driven by supply and demand. Our central bank can not intervene to prevent volatile fluctuations. Your currency na ya Uganda sio free floating, they are managed float. 🤣 🤣 🤣 Pole sana kama hukujua, nikama BOT has failed to prevent it from kuporomoka.
 
Au sio due to foreign exchange gains due to managed KShs.
We'll keep managing it, and that Tangangiza airboda will continue seeing dust, and so will the world's worst performing madafu currency 😅 😅
 
Back
Top Bottom