Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi


View: https://www.facebook.com/EARadio/videos/640505778709086/?app=fbl

MY TAKE
Listening to their stance of Tibaijuka n also Mwami Zitto Kabwe, Najiuliza kama wale Wacongo wenye asili ya Rwanda wanataka kuimega DRC Congo na kujiunga na Rwanda how about wale wa Kagera na Kigoma?

Je, hawatataka kuja kujaribu kuimega Tanzania pia? Maana hawa woote ni Bachwezi na ukiangalia vizuri Karagwe empire pre 1884 Ina-cover the whole region! Na Nia ya Kagame ni kurudisha huo utawala!

Inahitajika operation kimbunga nyingine kubwa kabla au baada ya uchaguzi.
 
You are tye only dirty person in this group. Ebu tuambie hapa ulioga mwisho lini?

View attachment 3282507
Screenshot_20250323_185418_Gallery.jpg
downloadfile-381.jpg

Na wewe ndio mtu msafi kwenye hili group kuliko wote humu
 
Uzuri CAF na FIFA wanaona huo ujinga wanafanya hapo.
Nina uhakika tayari pitch imeharibika tayari.
Afcon mwaka wao wa uchaguzi! 😂😂😂
Hawatoaandaa afcon, hawa jamaa ni uncivilised kutakuwa na vurugu za kutosha 2027, serikali yao baada ya kugundua hilo wakawashawishi uganda zen wakaja kutuomba tuandae wote ili tu 2027 kusitokee maafa, but 100% hakuna afcon kenya na watauwana kuliko kipindi kilee.
 
Hawatoaandaa afcon, hawa jamaa ni uncivilised kutakuwa na vurugu za kutosha 2027, serikali yao baada ya kugundua hilo wakawashawishi agenda zen wakaja kutuomba tuandae wote ili tu 2027 kusitokee maafa, but 100% hakuna afcon kenya na watauwana kuliko kipindi kilee.
Nchi ina wajuaji na wajinga wengi sana ile. 😂😂😂
 
Back
Top Bottom