Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ooohhhh sijui tulianza kuziona juzi. Kwako 9 years ago ni juzi? 🤣 🤣 🤣 Nimekuambia uwache ushamba, unatuonyesha gari tano unadhani ni flex. Sisi tumezizoea na ndio kwa maana ziko more than 200. Wewe unaona kama gari tano ni achievement. 🤣🤣🤣 Na ujue hizi ni MRAP sio hizo APC tudogo umepost, sidhani hata polisi wenu wakona MRAP by the way. 🤣🤣

Hizi hapa ni za 2024

Image


Image


2025
Image

Image

Image
Hatimae vyuma chakavu vimewasili US made good its promise in exchange for Kenyan police deployment to HAITI.
 
Hawatoaandaa afcon, hawa jamaa ni uncivilised kutakuwa na vurugu za kutosha 2027, serikali yao baada ya kugundua hilo wakawashawishi uganda zen wakaja kutuomba tuandae wote ili tu 2027 kusitokee maafa, but 100% hakuna afcon kenya na watauwana kuliko kipindi kilee.
Tanzania has higher chances of losing the AFCON hosting right than any other country. Hamna stadiums.
 
Hawatoaandaa afcon, hawa jamaa ni uncivilised kutakuwa na vurugu za kutosha 2027, serikali yao baada ya kugundua hilo wakawashawishi uganda zen wakaja kutuomba tuandae wote ili tu 2027 kusitokee maafa, but 100% hakuna afcon kenya na watauwana kuliko kipindi kilee.
Tanzania has higher chances of losing the AFCON hosting right than any other country. Hamna stadiums.
 
Back
Top Bottom