Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ni kamji kadogo sana. 🤣🤣 kamji kadunchu. Eti wanasema kameendelea kuliko Arusha. 🤣🤣. Hapo ndio utajua kama haw wakenya ni wapunbavu.
Na ujue Lolwe estate pale Kisumu pekee ni zaidi ya Mwanza CBD kwa wingi wa ghorofa., a clip isikudanganye uanze kujitekenya.,
1692796378170-1.png
 
Watanzania hatuongei hivyo! Kuongea kama unaimba?
Huwa mnaongea nikama mnalia hivi.., mnasound kizembe kizembe, kama mtu aliye choka na maisha hivi, yaani kaushamba flani.., L is pronounced as R.., mko down Mzee🤣🤣🤣
 
Huwa mnaongea nikama mnalia hivi.., mnasound kizembe kizembe, kama mtu aliye choka na maisha hivi, yaani kaushamba flani.., L is pronounced as R.., mko down Mzee🤣🤣🤣
Kwamba watanzania wana sound kizembe.? 🤣🤣🤣🤣. Ngoja nikupe mifano. This is how Tanzanians talk. 👇🏾 skiliza hii taarifa.
View: https://youtu.be/O5YreNC8eks?si=YUjPGERIKyiFExRi. Halafu skia hizi mungine they do not know neither english no swahili.
 
Tulikosa EACOP because of land issues na sio insecurity, mbona mnapenda kudanganywa? LAPSSET is ongoing well, nyinyi wenye hamna security issues mbona msijenge barabara ya Bagamoyo ?

We are safe thanks to KDF. When last did you hear Al Shaabab bombed Nairobi or Mombasa? It’s more than 10yrs now.

Kwa lipi? Siku tulichukua Kismayu UPDF ilikuwa hapo? Siku ya Afmadhow UPDF walikuwa hapi? UPDF wanauliwe kule Mogadishu kila siku kama mende. When last did you hear terrorism activity at Jubaland? Area controlled by KDF?

General wa jeshi lenu amekaguliwa pale Rwanda kama mwizi, yani hiyo aibu wewe huoni?😂😂😂
Kijana mbona unapenda kujidanganya why hata usigoogle why Mlikosa EACOP?.

Kwani Total wenyewe hawakua wanajua KDF ni mighty?

Sasa Northern Kenya kuna usalama gani?
 
Back
Top Bottom