Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

from 54trillion to 100 trillion in 3 yrs na hakuna kitu chochote so far๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

uwanja wa mpira arusha unajengwa kwa 320b of 30k seats alaf arena inajengwa kwa 450b of 15k seats tuendelee kula mtori nyama tutazikuta chini ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

ndio maana siku hzi traffic kuchukua rushwa hadharani ni jambo la kawaida hawana hata wasiwasi kabisa
Ulitaka vijengwe Kwa bei gani?

Pili 2015-2021 Kuna kipi ambacho Mwendazake alifanya? Be it Kwa Mkopo or domestic revenues?

Mwisho as norm hakuna aloyewahi weka hii rekodi before ๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡

View: https://www.instagram.com/p/DGr_pwUIoWb/?igsh=MWhrYzJpOTBndGU1Mg==
 
Ila ile perfomance ya Bien kwenye Trace Awards imewauma kweli. Yani kila baada ya post tano mnarudi hapo hapo kulinganisha perfamance za Vumbistan vs Kenya. Your cries are being loudly. ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚
Mbona Bien kapewa maua yake! Soma comments za hiyo clip ya Youtube uone watu wanavyoponda audio quality! Kuna mtu humu ndani alikuwa anabishia Chris Brown kukataa ku-perform Ukunyani! Mkabisha!

Angalia audio quality ya hii

View: https://youtu.be/TGwsFyeyzbk?si=NDDa5OyXnZmHrylm

Halafu linganisha na hii

View: https://youtu.be/sOTUuxuIwCo?si=OwrqaWGoqasz6u8E
 
Mbona Bien kapewa maua yake! Soma comments za hiyo clip ya Youtube uone watu wanavyoponda audio quality! Kuna mtu humu ndani alikuwa anabishia Chris Brown kukataa ku-perform Ukunyani! Mkabisha!

Angalia audio quality ya hii

View: https://youtu.be/TGwsFyeyzbk?si=NDDa5OyXnZmHrylm

Halafu linganisha na hii

View: https://youtu.be/sOTUuxuIwCo?si=OwrqaWGoqasz6u8E

Jana mmepost humu kwamba Burna Boy mwenyewe kaja na sound system yake. Leo hiyo hiyo sound system ya Burna Boy mnaitumia kuiponda Kenya. Mbona msimponde huyo Burna Boy mwenyewe mwenye mlisifia kwa kuchagua kuja na system yake mwenyewe?
 
Indoor Arena yenye capacity ya seat 15K inajengwa Kawe Dar es salaam
Haya hapa ni mawazo yangu na makisio ya Modern Arena.

Cost Breakdown (Estimated)

ComponentEstimated Cost (USD)
Land Acquisition$5M โ€“ $20M
Design & Architecture$10M โ€“ $30M
Construction & Materials$50M โ€“ $150M
Seating & Interior$10M โ€“ $40M
Roofing & Structural Work$15M โ€“ $50M
Technology & Equipment$10M โ€“ $30M
Safety & Accessibility$5M โ€“ $15M
Miscellaneous & Permits$5M โ€“ $15M
Total Estimated Cost$100M โ€“ $300M
 
Niiogope mombasa kwa mashoga.? Heb ulizia watu wakwambie vile watu wa Tanga tunavyowadharau watu wa mombasa, wamelemaa midomo wakiongea ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ ndio niiogope.? Niache kuogopa watu tough around Tz, niogope mashoga.?
Hapa kwenye hili jukwaaa wewe na Watchman ndo hamjafika 001 na tunakuja sababu ni pesa. ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Nairoberry

1740900082139.jpeg

1740900125647.jpeg

1740900152884.jpeg
 
Jana mmepost humu kwamba Burna Boy mwenyewe kaja na sound system yake. Leo hiyo hiyo sound system ya Burna Boy mnaitumia kuiponda Kenya. Mbona msimponde huyo Burna Boy mwenyewe mwenye mlisifia kwa kuchagua kuja na system yake mwenyewe?
Jana Sound System ilikuwa ya Burna Boy, leo hii tena imekuwa ya Wakenya just because the quality of Burna Boyโ€™s system was poor. Huyu mzee atachizi siku moja.
 
Inategemeana na unavomchukulia mtu , lakini kwangu Mimi the most corrupt alikuwa hiyo anayeona alifanya mengi na evidence zipo wazi usipofushwe na miradi michache, pia hata Samia sio kwamba Yuko perfect Kuna vitu vingi vinaenda ndivyo sivyo ola huwez compare na magu.at least peace of mind kwa mfuatiliaji imepatikana ili uweze kuona utofauti angalie Ile rate ya wawekezaji inavyoflow , chukua hata mfano tu mabasi na malori then njoo kwenye ajira. Angalia rate ya faida kwenye mabenk ulinganishe na Ile shake ya mabenk kipindi cha mwendazake.
The only president alikuwa Nyerere ila sio magu mnayemsifia
Sawa usijali, Ikiwa umeamua kuchukua negativity ni chaguo lako.
 
Back
Top Bottom