Tz_one
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 3,063
- 8,227
Yes one of the best projects currently ,Human capital ni muhimu sana kwenye kukuza uchumi wa nchi. yeah plus vyuo almost mikoa yote, uchumi wa hizo sehemu vinapojengwa unaeneda kuongezekaTanzania ilikuwa nyuma na kuzidiwa na Majirani wote kwenye Tertiary education enrollment kasoro Burundi so HEET ukiacha kwamba itaongeza udahili Bali inaenda sanjali na Mageuzi ya Mitaala,kusomesha Wataalamu wabobezi na kuimarisha Elimu yetu Kwa Jumla.
Good enough Vyuo Vikuu vimesambazwa Mikoa yote Tanzania