sio kila atachoongea mpinzani ni propaganda bro hawa wapinzani wakat mwengine tunawahitaj sana kwa ajili ya kufichua madudu, siku zote kwenye maisha mpinzani ndio anakupa chachu ya kufanya makubwa zaidi kwasababu atatafuta madhaifu yako ambayo huenda ww ulikua huyajui vzr
hili la mabango its true, inatumika pesa nyingi sana kushawahishi watanzania kama kazi inafanyika na maendeleo watu wanaona mabango ya nn bro, kwann pesa inapotezwa kizembe and yet kazi inaonekana, kwann pesa itumike tena kuwaaminisha watu yet nchi inasonga mbele, tusiwe watu wakushangilia kila kitu na kubeza kila kitu
mm bro kwenye ukweli ntakwambia huu ni ukweli na kwenye uongo i will tell u the same, hua niko very straight.