Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Sasa pelekea wanaojenga Talanta hiyo article yako waandike hapa😂😂😂👇👇👇

View attachment 3214600View attachment 3214601

Alie sign mkataba anajua zaidi yako.
Screenshot_20250126_100213.jpg
 
Kwa lugha rahisi huu uwanja ni wa huyo mwekezaji mpaka hela yake irudi. Hapo kwenye hela kurudi ndio kuna sarakasi mnaweza kujikita hela 'hairudi' miaka 50.

Fact!

Uwanja utakuwa chini ya miliki ya Mchina mpaka hela Yote ya ujenzi irudi. Sasa kwa hawa kenge walivyo na muamuko mdogo kwenye mpira wa miguu ndio hapo mchina ataushikilia hata kwa 50yrs.

Ikivuka labda kama wameweka collateral nyingine iende.
 
Fact!

Uwanja utakuwa chini ya miliki ya Mchina mpaka hela Yote ya ujenzi irudi. Sasa kwa hawa kenge walivyo na muamuko mdogo kwenye mpira wa miguu ndio hapo mchina ataushikilia hata kwa 50yrs.

Ikivuka labda kama wameweka collateral nyingine iende.
Unaumia ukiwa wapi?

IMG_1094.jpeg
IMG_1095.jpeg
 
Fact!

Uwanja utakuwa chini ya miliki ya Mchina mpaka hela Yote ya ujenzi irudi. Sasa kwa hawa kenge walivyo na muamuko mdogo kwenye mpira wa miguu ndio hapo mchina ataushikilia hata kwa 50yrs.

Ikivuka labda kama wameweka collateral nyingine iende.
Hela kurudi na sio watu wa kujaa viwanjani kuangalia mpira! 😂😂😂
 
alaf chizi anakwambia talanta sio PPP😂
 
alaf chizi anakwambia talanta sio PPP😂
Kati yako na Mchina anayejenga nani mjinga?

IMG_1094.jpeg
IMG_1095.jpeg
 
Back
Top Bottom