Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kunyaland, football nation iko wap?
20250126_100101.jpg


View: https://x.com/CAF_Online/status/1883258542624227578?t=NxF9zgOUNMDijp7xreA-6A&s=19
 
lazma mutaitwa wamiliki kwasababu ardhi ni yenu na dhumuni la uwanja ni kujengwa kenya ila ni ppp ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

ni sawa na expressway baada ya 30 good years ishachakaa na mchina asharudisha pesa yake anawaachia inakua yenu


View: https://x.com/nationafrica/status/1765302835229392935?s=46

Umechange gear tena?๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜…


Soma hapa vizuri, miliki wa Talanta ni nani?๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡

IMG_1094.jpeg
IMG_1095.jpeg
 
kwani baada ya miaka 30 expressway ishachakaa na mchina kasharudisha pesa yake unataka kunambia expressway itakua mali ya nani??? au nabishana na ww huenda hujui maana ya PPP๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Talanta ni mali ya nani? Soma kwa sauti tafadhali๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡

IMG_1094.jpeg
IMG_1095.jpeg
 
Back
Top Bottom