The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,616
- 98,847
Mko hovyo sana kwa planning, imagine uwanja wakati mnaujenga hamkujua kwamba gari zinatakiwa zipaki hapo, baada ya kupita miaka mingi ndiyo mkachukua maeneo ya pembeni mwa uwanja mkajenga parking jua kali 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Pole sana, Kasarani ni kubwa sana, land yake wanaweza jenga hata stadium zingine kumi with a capacity of 60k na bado ibaki , haijajengwa kwa plot ya 50 by 100 kama makwapa. 🤣 🤣 🤣
View attachment 3205135