Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Makenya yalivyo masenge badala yaumizwe na vitu vinavyoleta maendeleo ya kweli yenyewe yanaumizwa na cosmetic projects like that.
 
Masaki ni bora East and Central Africa co tu Tanzania, but have you ever heard about Mbweni?
Of course it's the best according to you and your fellow countrymen here. If I asked you to provide evidence anywhere that it's the best, utabaki na vihoja zenu za Kila siku. You won't be able to prove anything
 
Shule nyingi Kenya zinakaa hivi 👇👇🤣🤣🤣🤣
Screenshot_20250117-103429~2.png
 

Kwani habari kama hii wewe inakupa ujumbe gani? Hapa ni wazi kuna raia wa Kichina wanaishi/kufanya biashara illegally. Yaani sheria haiwaruhusu ila kwasababu Wachina wengi ni watu wasijali utaratibu wanafanya vitu wasivyoruhusiwa kufanya. Hawa ni raia wanazijulisha mamlaka kusimamia sheria. Na si Kariakoo tu, sehemu nyingi Wachina hawafuati utaratibu.
 
Kwani habari kama hii wewe inakupa ujumbe gani? Hapa ni wazi kuna raia wa Kichina wanaishi/kufanya biashara illegally. Yaani sheria haiwaruhusu ila kwasababu Wachina wengi ni watu wasijali utaratibu wanafanya vitu wasivyoruhusiwa kufanya. Hawa ni raia wanazijulisha mamlaka kusimamia sheria. Na si Kariakoo tu, sehemu nyingi Wachina hawafuati utaratibu.
Si nyinyi wote wasoshiolisti?! 🤣🤣
Mnakataa socialists wenzenu na Kila siku hapa mnawasifia!?😂😂
 
Back
Top Bottom