Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hahahahahaaaaaaa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Screenshot_20250110-212128~2.png
 
Henna ni tamaduni za kiarabu, sitarajii kabisa kwa wewe mpori mpori ambae si hata Muslim ujue hayo. 😂😂😂 ikiwa kitu huna elimu nacho Kaa kimya
Sawa proffesor wa masomo ya Henna😂😂Kwanza huyo jamaa ni mwarabu??
Pili, tulikuwa tunaongelea tatoo sio henna
Tatu, unaongea kana kwamba hivyo alivyojichora henna ni mila ya kiislamu unajiabisha. Ni obvious kuwa hio ni chest and shoulder tribal tatoo ambayo haina any origin kutoka kiislamu ama kiarabu for that matter
Now you should’ve supported your argument based on the facts of that picture’s appearance but then you brought up how henna is applied on the beard, arabs, islam blah blah blah totally irrelevant stuff, and yet you talk about elimu 🤣🤣
 
GDP halisi ya Tz ni over $150B angalia mambo tunayofanya alafu jiangalieni na nyie utanielewa namaanisha nn.
So are you creating your own method for measuring GDP ?…. And who are you and what’s your qualification…. NB: carrying a rungu does not count ….. wewe akili yako ilipotelea Alaska ..😃… rundi Tandale ..😂😂😂
 
Back
Top Bottom