Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Henna in Kenya is used by women only 😂😂
Not on a man to act as a tatoo. Why? Because he cannot stand the pain? Tanzanians 😂
Ngoja nikuelimishe we mwehu, Henna kiislamu ni Sunna ya Mtume Mohammad S.A.W. Kwa mfano hapo zamani walitakiwa wazee wa kiislamu kupaka henna ndevu zao nyeupe ili kujitofatisha na wazee makafiri wa kikuraish . Yaani hivi. 👇🏾
IMG_3646.jpeg
makafiri walifanana hivi 👇🏾
IMG_3648.jpeg
Kwahiyo henna inatumiwa na wanaume pia (wewe huna elimu hii nyamaza. 😂😂

Kwa suala la Twaha kiduku kupaka henna mwilini mwake ni kwasababu yeye ni muislamu na kimsingi kiislamu tattoo ni haram, Kwahiyo kuliko achore tattoo iendelee kubaki mwilini mwake he chose to use henna yenye itakaa kwa muda mchache then itafutika. (Hana mpango wa kuchora tattoo ).
 
Ngoja nikuelimishe we mwehu, Henna kiislamu ni Sunna ya Mtume Mohammad S.A.W. Kwa mfano hapo zamani walitakiwa wazee wa kiislamu kupaka henna ndevu zao nyeupe ili kujitofatisha na wazee makafiri wa kikuraish . Yaani hivi. 👇🏾View attachment 3197496makafiri walifanana hivi 👇🏾View attachment 3197513Kwahiyo henna inatumiwa na wanaume pia (wewe huna elimu hii nyamaza. 😂😂

Kwa suala la Twaha kiduku kupaka henna mwilini mwake ni kwasababu yeye ni muislamu na kimsingi kiislamu tattoo ni haram, Kwahiyo kuliko achore tattoo iendelee kubaki mwilini mwake he chose to use henna yenye itakaa kwa muda mchache then itafutika. (Hana mpango wa kuchora tattoo ).
I was really hoping that you brought examples of other men using henna on their bodies, I almost forgot you are just Tanzanian, apologies for my high expectations 😂
 
Sio 80s kuanzia 70s Fiat Calabrese za takatska compactor na bafo compactors ziko nyongi tuu Dar.
Sidhani kama garbage compactors ni kitu cha kushindania hapa.
Baba yako Geza ndio alianza comparisons, ebu muulize alikua anashindania nini?
 
I was really hoping that you brought examples of other men using henna on their bodies, I almost forgot you are just Tanzanian, apologies for my high expectations 😂
Henna ni tamaduni za kiarabu, sitarajii kabisa kwa wewe mpori mpori ambae si hata Muslim ujue hayo. 😂😂😂 ikiwa kitu huna elimu nacho Kaa kimya
 
Back
Top Bottom