Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Our New China
IMG_20170603_142437.jpg
IMG_20171209_163033.jpg
 
Primitive you are with your Albino eating habits.Demonic . Atleast I am shallow minded, You have faeces in between your ears.
Hahahahaha. Nashukuru kwa kulitambua hilo kuwa wewe ni shallow minded. That's why I say you have old stone age mind. Whites propaganda zimekuingia kichwani ki sawa sawa.
 
new leisure hotel in tz😀😀😀😀 looks like zile hostel za kupeleka mpango wa kando
leisure-safari-lodge-4634-ff628079260536cb0ab73422be4c6c467d9dd2fe.jpg
 
new leisure hotel in tz😀😀😀😀 looks like zile hostel za kupeleka mpango wa kando
leisure-safari-lodge-4634-ff628079260536cb0ab73422be4c6c467d9dd2fe.jpg

About the Hotel

Leisure Safari Lodge is a brand new luxury lodge situated below Mount Meru, in Sakina which is just a 10 minute drive out of the town centre on the Arusha – Nairobi highway. The lodge is set in a peaceful and tranquil area and is surrounded by beautiful vegetation. Free WiFi is also available.

The lodge features deluxe rooms and cottage apartments, fully furnished with an en-suite bathroom, a mini safe, a cable TV and a direct telephone line.
https://travel.jumia.com/en-gb/tanzania/o4634/leisure-safari-lodge-arusha
 
About the Hotel

Leisure Safari Lodge is a brand new luxury lodge situated below Mount Meru, in Sakina which is just a 10 minute drive out of the town centre on the Arusha – Nairobi highway. The lodge is set in a peaceful and tranquil area and is surrounded by beautiful vegetation. Free WiFi is also available.

The lodge features deluxe rooms and cottage apartments, fully furnished with an en-suite bathroom, a mini safe, a cable TV and a direct telephone line.
https://travel.jumia.com/en-gb/tanzania/o4634/leisure-safari-lodge-arusha
sawa baba😀😀 lakini heri wangeiita jina ingine...not leisure hotel...kitu inakaa kibanda ya kuuzia chai na mandazi mnaita leisure hotel?
 
sawa baba😀😀 lakini heri wangeiita jina ingine...not leisure hotel...kitu inakaa kibanda ya kuuzia chai na mandazi mnaita leisure hotel
Tatizo mawazo yako ni ya kishetani.
upload_2017-12-19_17-18-46.png
 
Hahahahaha. Nashukuru kwa kulitambua hilo kuwa wewe ni shallow minded. That's why I say you have old stone age mind. Whites propaganda zimekuingia kichwani ki sawa sawa.

Hehehe.... Just listen to yourself ndio ugundue that there is absolutely nothing in between your ears. Wewe get busy.... Faru anakuja
 
Hehehe.... Just listen to yourself ndio ugundue that there is absolutely nothing in between your ears. Wewe get busy.... Faru anakuja
Yaani zama hizi bado upo na mawazo ya watu kunyonya damu za watu wenzao? Hahahahahaha!! my friend this is old stone age ideas or Only person with brain disorder can have such thinking.
 
REPOST.
WASANII WENGI WA KENYA HAWAJUI KUPENDEZA:

sote tunajua kwamba showbiz sio tu kuwa na kipaji cha kutunga, kuimba,kuigiza au kuchekesha bali pia ni namna gani msanii unaji-package katika muonekano mzuri.

mimi ni shabiki mkubwa wa miziki ya kenya,ila ninakwazwa na namna wasanii wa kenya wanavyojiweka kimuonekano.

ukweli wasanii wengi wa kenya hata wale ambao mimi nakubali kazi zao,hawajui kuvaa wakapendeza, wengi sio wasafi,pia hawajui ku-brand muonekano wao.

mfano mdogo ni hawa vijana watatu wa kikundi cha h_art the band.

hawajipendi,wapo rough sana na wachafu sana.
bbc1dd710b7dd7a2338c4796af24c14c.jpg
fe8c63b3d0e44db7a993cdf255c8c69c.jpg
9f227fd51f4d90d53bb25460ac6fa3e4.jpg
d79ec08c14750afffe555b551bd15d33.jpg
de25ff9922215cbf3e04660955b18771.jpg


katika hili,wasanii wa tanzania wanastahili sifa,wengi wao wanajua kuji-keep up with popular trending fashion.

our artists are fashionable,they know how to brand their image with some nice and fredh outfits.
d124a5d25edf177009e4a1d260d00985.jpg
6ad3564ad30a3c9ee1041d8e2904e5ad.jpg
fd1fbaa09d85b6a3eefa09dd6aaabb50.jpg
18ca45c41372ff6a133ae80f5a20169e.jpg
0e3bfe57fe83e4a4ac1877b2ed71ca9f.jpg
887a577be28e11807b8e6f101579aea0.jpg
77f1b7fca93579ddf1cd3c761019dd1e.jpg
df125960a627fb6b234ce3321fba1c2e.jpg
0300280f08077c007b777cec3722d7d7.jpg
4a6c58cc8ba7de379af06548b0e15b85.jpg


wasanii wa kenya wana jambo la kujifunza toka kwa wasanii wa tanzania.

ikumbukwe mashabiki wakubwa wa mziki duniani ni watoto wa kike.

kwa uvaaji wa hovyo na muonekano mbaya wa wasanii wa kenya,sishangai kwanini "mamanzi" wengi wa kenya hupagawishwa na wasanii wa bongo hususani kiba na diamond.

makala hii imeandikwa na kadoda11 wa jamiiforum.
 
REPOST.
WASANII WENGI WA KENYA HAWAJUI KUPENDEZA:

sote tunajua kwamba showbiz sio tu kuwa na kipaji cha kutunga, kuimba,kuigiza au kuchekesha bali pia ni namna gani msanii unaji-package katika muonekano mzuri.

mimi ni shabiki mkubwa wa miziki ya kenya,ila ninakwazwa na namna wasanii wa kenya wanavyojiweka kimuonekano.

ukweli wasanii wengi wa kenya hata wale ambao mimi nakubali kazi zao,hawajui kuvaa wakapendeza, wengi sio wasafi,pia hawajui ku-brand muonekano wao.

mfano mdogo ni hawa vijana watatu wa kikundi cha h_art the band.

hawajipendi,wapo rough sana na wachafu sana.
bbc1dd710b7dd7a2338c4796af24c14c.jpg
fe8c63b3d0e44db7a993cdf255c8c69c.jpg
9f227fd51f4d90d53bb25460ac6fa3e4.jpg
d79ec08c14750afffe555b551bd15d33.jpg
de25ff9922215cbf3e04660955b18771.jpg


katika hili,wasanii wa tanzania wanastahili sifa,wengi wao wanajua kuji-keep up with popular trending fashion.

our artists are fashionable,they know how to brand their image with some nice and fredh outfits.
d124a5d25edf177009e4a1d260d00985.jpg
6ad3564ad30a3c9ee1041d8e2904e5ad.jpg
fd1fbaa09d85b6a3eefa09dd6aaabb50.jpg
18ca45c41372ff6a133ae80f5a20169e.jpg
0e3bfe57fe83e4a4ac1877b2ed71ca9f.jpg
887a577be28e11807b8e6f101579aea0.jpg
77f1b7fca93579ddf1cd3c761019dd1e.jpg
df125960a627fb6b234ce3321fba1c2e.jpg
0300280f08077c007b777cec3722d7d7.jpg
4a6c58cc8ba7de379af06548b0e15b85.jpg


wasanii wa kenya wana jambo la kujifunza toka kwa wasanii wa tanzania.

ikumbukwe mashabiki wakubwa wa mziki duniani ni watoto wa kike.

kwa uvaaji wa hovyo na muonekano mbaya wa wasanii wa kenya,sishangai kwanini "mamanzi" wengi wa kenya hupagawishwa na wasanii wa bongo hususani kiba na diamond.

makala hii imeandikwa na kadoda11 wa jamiiforum.
dont be petty...fashion ni ya wamathe na madem...buda hizo ni tabia za kisenge...a man justs wears a suit or a shirt.....do you know how Bill Gates, one the richest men in the world dresses?
 
ni kweli,walishindwa kufanya hivyo katika utawala uliopita wa jakaya kikwete.

hiyo ilitokana na mapungufu mbalimbali ya kiutawala wakati wa utawala wa rais aliyepita.

pia kesi nyingi za poaching zilizopo mahakamani ni zile zilizo sajiliwa awamu iliyopita.

nikuulize,umeshawahi kusikia taarifa mpya ya mauaji tembo tz katika kipindi cha miaka mitatu ya utawala wa john magufuli?.

kama una uthibitisho tuletee.
By the way of late sijasikia such, could be the Authorities hawalali kazini. Hongera Tz.
 
Back
Top Bottom