The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,480
- 98,527
Sure.Haya anayoendeleza hana namna. Project zilikuwa katikati huwezi kukatisha. Vinginevyo angefanya yake. Angeuza badala ya kujenga.
Sure.Haya anayoendeleza hana namna. Project zilikuwa katikati huwezi kukatisha. Vinginevyo angefanya yake. Angeuza badala ya kujenga.
Leta picha tuone myemenikariakoo pekee kuna magorof yanajengwa mengi kuliko nairobi+ kisumu + mombasa combined 😂😂😂
Akitoa nitag 😂 😂Leta picha tuone myemeni
Iko na stamp hata Moja? Ama anazunguka nayo mitaani akionyesha kila mtu?Amechukua passport juzi Hadi akapiga picha. Nina uhakika hajaitumia. Hii ni over excitement.🤣🤣
Una tatizo la akili or somethingMkenya akienda Dubai ama Europe kufanya kazi mnamuita kijakazi, Mtanzania akija Kenya kazi mnajisifu amekuja kuchukua pesa. Hii inaonyesha vile economy yetu iko juu ya yenu.
Hii ndio kariakoo anasema kunajengeka kushinda sehemu yeyote kenyaAkitoa nitag 😂 😂
Hivi huyu ni mwimbaji? Tatizo kumamako.Una tatizo la akili or something
Yaani mtu aje kuchukua USD 1m kwa dk 30, pamoja na Ksh 20m bila hata kuimba kisa fujo za pozee ulinangishe na House maid wa USD 200 kwa mwezi huko uarabuni?
Kama si ukichaa ni nini?
asante joho kwa kumuamini mtanzania mwenzetu kua trainer wako 😂😂
danzel chukua pesa kwa wakenya 😂
View attachment 3191932
View attachment 3191933
hapo tu kuna majengo zaid ya 6 yanajengwa kwa pamoja na ni chni ya kilomita moja za mrabahaHii ndio kariakoo anasema kunajengeka kushinda sehemu yeyote kenyaView attachment 3192397
Huyu mwarabu akifika Eastleigh aone the kind of building projects going on there atasemaje?
acha kupaniki kuna utofauti wa housemaid na trainer. housemaid ni pamoja nakuosha vyomboHivi huyu ni mwimbaji? Tatizo kumamako.
Na ananuka vyombo akitoka nje😂acha kupaniki kuna utofauti wa housemaid na trainer. housemaid ni pamoja nakuosha vyombo
Mpira wa Africa unachezwa na ranks mkuu kama una D 2 utanielewa 😁mwarabu tena kesho ndio mutajua kwann refa aliongeza dakika ili mupate goli 😂😂
Kuna wizi mkubwa sn unafanyika JKIA passengers huwa wanashauriwa wafanyie wrapping begi zao kabla ya kutua JKIA au Bole pale Addis Ababa, yn jamaa wako third world countries indeed.
Hivi wewe Watchman unaakili timamu kweli wewe? Kwenye hii picha yako tu kuna majengo matano yanajengwa, just imagine, kapicha kadogo tu lkn majengo matano under construction na bado unataka uletewe ushahidi, uko timamu kweli wewe?Hii ndio kariakoo anasema kunajengeka kushinda sehemu yeyote kenyaView attachment 3192397
Huyu mwarabu akifika Eastleigh aone the kind of building projects going on there atasemaje?
Huyo Watchman ni kichaa kajipiga own goal, tukiwaambia kariakoo sio size yao wanabisha. Kariakoo is not a joke, just because hatupost picha wanadhani tunawatania, sasa wanapost wenyewe 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣hapo tu kuna majengo zaid ya 6 yanajengwa kwa pamoja na ni chni ya kilomita moja za mrabaha
Wakenya wana njaa sn mbwa hawa. Kwanza picha linaanza mabegi yanabebwa na trekta mnaletewa abiria mnagombania kama ubwabwa wa shuhuri, hapo utakosa kuibiwa?Sitasahau jamaa walinipiga charger ya simu hapo JKIA kufika OT airport sioni charger wangese sana hao njaa imezidi sana hapo ukunyani.
Sasa Una catch mafeeling yann malay.a wewe, ukiambiwa ukweli unalia.Hivi huyu ni mwimbaji? Tatizo kumamako.
Sasa majengo ya 6 floors ndio unaongelea na sisi tunaongelea 30 floors.hapo tu kuna majengo zaid ya 6 yanajengwa kwa pamoja na ni chni ya kilomita moja za mrabaha