Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Umeenda kwa story nyingi sasa unapost picha za Ubungo za highways na artery roads na projects ambazo already kila mtu kwa hii thread anazijua wakati mimi nimekuambika kitu kidogo sana kwamba hiyo barabara uliyopost ukasema ni mbovu iko better than 99% ya barabara za Dar CBD. Wacha nikuoneshe kwa picha.

Picha uliyopost ukasema barabara ni mbovu hii hapa.

1734963988589-jpg.3183696


Barabara za Dar CBD hizi
View attachment 3183827View attachment 3183828

So utasemaje hiyo barabara ya Kenya ni mbovu alafu hizo nilizopost za Dar CBD useme ni poa? Are thos the roads that you call world class?

Lastly, why do you keep on telling me to come to Dar? Why don't you come to Nairobi too considering you have a very skewed view of Nairobi saying ignorant stuff like Kilimani has poor horizontal infrastructure when Kilimani in fact has better horizotal infrastructure than ALL your neighborhoods in Dar. FYI, I have been to Dar before and don't worry, I shall come again but do also make a visit to Nairobi and view it in a non-biased way to stop making ignorant statements but If you can say that road you posted above is a bad road then it's quite clear you're more interested in scoring a point than saying the truth.

You know instanbul, you don't cross me as a vile guy like some of your brothers on this thread, you sound like a decent human but the problem with you is you hypocrisy. You can see something in Dar and say it's very nice and yet a similar or even better thing like that in Kenya you'll pots and say how poor quality it is. I don't think there's anyone in the world who'll say the road you posted is poor quality even people from the developed world and you know it.
Nimeishia Hapo uliposema Kilimani ina better horizontal infrastracture😂😂.
Ngoja nikwambie kitu. Wakati nakaa Nairobi niliishi kilimani....
Kilimani ya sasa inaelekea kufanana Roysambu au Pipeline huko.

The way you talk of Dar. Its a clear evidence kwamba hujawahi kanyaga Dar...kwa nini mnapenda kutell lies...yaan nyinyi from your president hadi kwa mama mboga ni lies lies...
Kwenye video yako ya YouTube kuhusu moshi ulionekana kabisa hukuwahi kanyaga Dar.

Halafu if you have been here for while...you may see me commenting on some bad side of Dar. Sijawahi sema hata siku moja kuwa Dar is very perfect...I know well my city...Nimeshauri kila mara hapa on how to improve Dar City Centre...from making it a Tourism hub hadi kuzuia kabisa Nduthi kuingia....

Lakini siwezi kuona ujinga nikakaa kimya...kama unaona hiyo barabara iko sawa then you still have a long way to go. Imagine wew ndo uwe mayor wa Nairobi city halafu upuuzie Barabara kama hiyo...ati iko sawa. Nairobi na GDP yenu ya $60 bigger than Uganda hamshindwi kutengeneza barabara mpya ziwe world class kwa hako kaCBD....

Back to kilimani...hii ndo kilimani sasa 2024
😂😂 Au hapa ni wap

View: https://www.facebook.com/share/v/19xoydwTzL/?mibextid=LVqgqoT8rQke8goU
 
Nimeishia Hapo uliposema Kilimani ina better horizontal infrastracture😂😂.
Ngoja nikwambie kitu. Wakati nakaa Nairobi niliishi kilimani....
Kilimani ya sasa inaelekea kufanana Roysambu au Pipeline huko.

The way you talk of Dar. Its a clear evidence kwamba hujawahi kanyaga Dar...kwa nini mnapenda kutell lies...yaan nyinyi from your president hadi kwa mama mboga ni lies lies...
Kwenye video yako ya YouTube kuhusu moshi ulionekana kabisa hukuwahi kanyaga Dar.

Halafu if you have been here for while...you may see me commenting on some bad side of Dar. Sijawahi sema hata siku moja kuwa Dar is very perfect...I know well my city...Nimeshauri kila mara hapa on how to improve Dar City Centre...from making it a Tourism hub hadi kuzuia kabisa Nduthi kuingia....

Lakini siwezi kuona ujinga nikakaa kimya...kama unaona hiyo barabara iko sawa then you still have a long way to go. Imagine wew ndo uwe mayor wa Nairobi city halafu upuuzie Barabara kama hiyo...ati iko sawa. Nairobi na GDP yenu ya $60 bigger than Uganda hamshindwi kutengeneza barabara mpya ziwe world class kwa hako kaCBD....

Back to kilimani...hii ndo kilimani sasa 2024
😂😂 Au hapa ni wap

View: https://www.facebook.com/share/v/19xoydwTzL/?mibextid=LVqgqoT8rQke8goU

Hii hata mbagala huikuti
 
Saa zingine ukiongea uongo jaribu kusema vitu vinavyoweza kuaminika. Unadhani the French hawana akili kama wewe waite nchi nyingine takataka wakati wanajua wana investments na bilateral relations na hiyo nchi? Nina uhakika hujawai attend seminar yoyote ndio maana uko clueless hivi.
Haya inaoneka wewe unajua sana kuliko hao wa faransa tuambie kwanini eacop haikupita bandari ya mombasa nyie kunyaland mnajifanyaga muchnow kumbe mabumunda tu.
 
Nimeishia Hapo uliposema Kilimani ina better horizontal infrastracture😂😂.
Ngoja nikwambie kitu. Wakati nakaa Nairobi niliishi kilimani....
Kilimani ya sasa inaelekea kufanana Roysambu au Pipeline huko.
Yes, Kilimani has better infrastructure than any neignborhood in Dar. You will pick a single lane in Kilimani that is destroyed mostly due to construction in that particular area and ignore the fact that 90% of roads in Kilimani are in paved condition while your high end neighborhoods have 90% earth roads. Take a video of someone driving in Kilimani and compare with someone driving in Masaki for instance which is your top neighborhood.
I doubt you've ever lived in Kilimani, no offense though.

View: https://www.youtube.com/watch?v=pO3IIcC6xAE


The way you talk of Dar. Its a clear evidence kwamba hujawahi kanyaga Dar...kwa nini mnapenda kutell lies...yaan nyinyi from your president hadi kwa mama mboga ni lies lies...
Kwenye video yako ya YouTube kuhusu moshi ulionekana kabisa hukuwahi kanyaga Dar.
At least I state facts when I speak about Dar. Sasa ukisema Kilimani ni kama Pipeline na unasema umefika Nairobi wewe tutakusemaje kuhusu your capacity to say the truth?
I have been to Dar, back in 2016. I do not need to convince you though. You can choose to believe what you want.

Halafu if you have been here for while...you may see me commenting on some bad side of Dar. Sijawahi sema hata siku moja kuwa Dar is very perfect...I know well my city...Nimeshauri kila mara hapa on how to improve Dar City Centre...from making it a Tourism hub hadi kuzuia kabisa Nduthi kuingia....
I haven't seen you comment negatively about Dar but even if you have, you're normally hypocritical when talking about Nairobi. The Rosslyn video that you responded with a very dusty road in sijui Masaki explains it all. Leo unapost a perfectly good city road in the Nairobi CBD unasema ni mbovu, A similar road in Dar ungeisifu hadi tuchoke.

Lakini siwezi kuona ujinga nikakaa kimya...kama unaona hiyo barabara iko sawa then you still have a long way to go. Imagine wew ndo uwe mayor wa Nairobi city halafu upuuzie Barabara kama hiyo...ati iko sawa. Nairobi na GDP yenu ya $60 bigger than Uganda hamshindwi kutengeneza barabara mpya ziwe world class kwa hako kaCBD....
Nielezee nini kibaya na hiyo barabara wewe msomi wa barabara?

Back to kilimani...hii ndo kilimani sasa 2024
😂😂 Au hapa ni wap

View: https://www.facebook.com/share/v/19xoydwTzL/?mibextid=LVqgqoT8rQke8goU

This is a single lane in Kilimani. Meanwhile a neighborhood in Dar will look like this na bado mtaitetea.

20221124_135741-jpg.2439637
 
Wasn't my comment in response to you mentioning projects under pipeline after I beat you 10-0 in existing projects? Ama Gani zingine unataka kuweka? Ama utaweka 1690km from Mtwara to Mwanza kama mwendawazimu mwenzako concordile 101 ?
I just mentioned the projects U/C and under procurement.. not projects on the pipeline, nikiweka projects on pipeline mtahama huu uzi,
Besides, 1690km za lami sio mchezo , glad you mentioned it.
Wale watu wa road trip will confess.
Kwa mfano, fikiria unadrive over 850km down this beautiful road with some mesmerizing landscapes,
All you need is some well maintained decent vehicle plus atleast 2 good full tanks.
Huko kunya the longest road trip is 400km+ with very pathetic unmaintainad road with too much potholes l, from the slumy township of Nairobi to mombasa mji wa mashoga.
0788B379-00B9-4C31-89E1-53DB2B8DF9EF.jpeg
 
I just mentioned the projects U/C and under procurement.. not projects on the pipeline, nikiweka projects on pipeline mtahama huu uzi,
Besides, 1690km za lami sio mchezo , glad you mentioned it.
Wale watu wa road trip will confess.
Kwa mfano, fikiria unadrive over 850km down this beautiful road with some mesmerizing landscapes,
All you need is some well maintained decent vehicle plus atleast 2 good full tanks.
Huko kunya the longest road trip is 400km+ with very pathetic unmaintainad road with too much potholes l, from the slumy township of Nairobi to mombasa mji wa mashoga.
View attachment 3183849
Mbona hii barabara ya kawaida sana, you can mention any county na nikuoneshe barabara kama hii.😂😂
1690 za lami kwani haziko Kenya ama? 😂 😂
Huwa mnachekesha sana. Ama niwakumbushe total lami Kenya vs Tanzania ni ngapi?
Usitoke kwenye mada bro. Mada ni dual carriageway.
Hapa Kenya unaweza toka Namanga hadi Moyale 940km kwa barabara kama hii halafu out of that 940km, about 200km itakuwa dual carriageway.

Kumbuka uliweka existing, nikaweka existing nikakupiga 10-0. Ukaweka under procurement, nikaweka under procurement nikakupiga 10-0.
 
Saa zingine ukiongea uongo jaribu kusema vitu vinavyoweza kuaminika. Unadhani the French hawana akili kama wewe waite nchi nyingine takataka wakati wanajua wana investments na bilateral relations na hiyo nchi? Nina uhakika hujawai attend seminar yoyote ndio maana uko clueless hivi.
Which investments does France have in that godforsaken desert Kenya by name?,
Maybe Total gas stations 😀😀😀
 
I just mentioned the projects U/C and under procurement.. not projects on the pipeline, nikiweka projects on pipeline mtahama huu uzi,
Besides, 1690km za lami sio mchezo , glad you mentioned it.
Wale watu wa road trip will confess.
Kwa mfano, fikiria unadrive over 850km down this beautiful road with some mesmerizing landscapes,
All you need is some well maintained decent vehicle plus atleast 2 good full tanks.
Huko kunya the longest road trip is 400km+ with very pathetic unmaintainad road with too much potholes l, from the slumy township of Nairobi to mombasa mji wa mashoga.
View attachment 3183849
Wewe unakuanga mjinga sana. Is this a dual carriageway?
 
Mbona hii barabara ya kawaida sana, you can mention any county na nikuoneshe barabara kama hii.😂😂
1690 za lami kwani haziko Kenya ama? 😂 😂
Huwa mnachekesha sana. Ama niwakumbushe total lami Kenya vs Tanzania ni ngapi?
Usitoke kwenye mada bro. Mada ni dual carriageway.
Hapa Kenya unaweza toka Namanga hadi Moyale 940km kwa barabara kama hii halafu out of that 940km, about 200km itakuwa dual carriageway.

Kumbuka uliweka existing, nikaweka existing nikakupiga 10-0. Ukaweka under procurement, nikaweka under procurement nikakupiga 10-0.
We all know outside the small Nairobi, hakuna kitu huko.
Kwamba kule garisa kuna barabara, Lamu ? Kule kaskazini hata mtoto wa miaka 5 anamiliki gobole?
Your Kenyan forces never step a foot because of banditry ?
3/4 of Kenya is very underdeveloped and we all know it.
 
We all know outside the small Nairobi, hakuna kitu huko.
Kwamba kule garisa kuna barabara, Lamu ? Kule kaskazini hata mtoto wa miaka 5 anamiliki gobole?
Your Kenyan forces never step a foot because of banditry ?
3/4 of Kenya is very underdeveloped and we all know it.
Kule Kaskazini

Isiolo
123769926_849134122573438_4788457102053190291_n.jpg



Marsabit
124719071_849134159240101_8221049080462222707_n.jpg


Turkana
DJI_0838-copy-1024x819.jpg



Moyale

30240476755_152df406bd_z.jpg
 
gas stations is just a retail business kila mtu anawezafanya 😀😀😀
Unajaribu kubadilisha mada from the real point kama ilivyo kawaida yenu. The point was, no diplomat or business person would call one country takataka in a seminar and it showed how much of a liar newcomer vumbistani is.

Anyway, here is a random photo in Nairobi, you can do research on it if you wish.

AF1QipMQ6CqvpF8340y3PdnYJpiEemJhS_VJdKgqhzh7=s1360-w1360-h1020
 
Back
Top Bottom