NairobiWalker
JF-Expert Member
- Oct 31, 2012
- 16,395
- 17,974
Shangaa hapo imagine kuokota soda za jero ya bongo kwenye roli lilioanguka. MatajiriiiiiJamani hawa jirani zetu wengi wana matatizo ya afya ya akili halafu watanzania tukiwaambia wanajifanya wajuaji.
Hivi mtu unaejitambua utapangaje line ya more than 5 kilometres kusubiri mafuta ya kupikia yenye thaman ya 15ksh🤣🤣🤣🤣
Hebu piga picha karibu na barabara ile inayotoka Libraly ya kenya.....
Sasa nani mwendazimu kama sio weye unayeshindwa kutofautisha planned roads ba existing road . Usikimbie topic jana umenyosha mikono hukuwa na hoja kuanzia kufake km za barabara mpka kuomba pooohWasn't my comment in response to you mentioning projects under pipeline after I beat you 10-0 in existing projects? Ama Gani zingine unataka kuweka? Ama utaweka 1690km from Mtwara to Mwanza kama mwendawazimu mwenzako concordile 101 ?
Barabara za Dar cbd zipi? City Centre ya Dar sasa imefumuliwa wanajenga BRT systems ambayo inacontain World class roads nyingine ni concrete kabisa. Nilijitolea kukuhost..ili uje utoe ushamba...maana unaongea kimawazo tu.This road is in good condition and better that 99% of roads in Dar CBD. Unakuwanga na ujinga wa kuwa na extremely high standards when talking about Kenya but hizo standards zinapotea ukiongekea Tanzania. Nakumbuka Kuna siku nilipost video ya Rosslyn hapa na Barabara nzuri tu ukasema ni za ovyo halafu baadae unapost hapa video sijui ilikuwa ya Mbezi ama Masaki Barabara 80% vumbi alafu Ile yenye lami haina hata drains na ni chafu na ulikuwa unainsist ni Barabara poa. Sema ng'we nikupostie Barabara za Dar CBD ulinganishe.
Hivi ni nchi gani duniani iliwahi uza mke kwa ajili ya kupata soda. Mtasema mnakili nyinyiWasn't my comment in response to you mentioning projects under pipeline after I beat you 10-0 in existing projects? Ama Gani zingine unataka kuweka? Ama utaweka 1690km from Mtwara to Mwanza kama mwendawazimu mwenzako concordile 101 ?
Barabara za Dar cbd zipi? City Centre ya Dar sasa imefumuliwa wanajenga BRT systems ambayo inacontain World class roads nyingine ni concrete kabisa. Nilijitolea kukuhost..ili uje utoe ushamba...maana unaongea kimawazo tu.
Hako kanairobi CBD ni kadogo sana kwa nchi yenye GDP ya $114b kufumua barabara zote na kujenga upya barabara za kapital city...barabara za Nairobi CBD hazifiki 5km.
Wew uko unatetea ujinga hapa...na sio kwamba Dar is too perfect lakin hatuna masifa kama nyinyi mnaosifia hicho kijiji kama ni level ya Singapore
Hebu Tazama barabara za Dar... ubungo area 10km from CBD.
View: https://youtu.be/kXFNLfE6HMo?si=xHlji1HmngOuZ9Pr
By the way Tanzania sio wajinga kujenga capital mpya.
Barabara za capital city zinafanana hivi
View: https://youtu.be/YEU_QbKu-L8?si=OOIkCaQUo3RcDS9K
Acha kutetetea upumbavu
Teargas nairobae NairobiWalker Mambo kama haya yanawauma sana wakenyaJuzi wakati tunafunga seminar ya mwaka Bomba la mafuta ,Eacop kulikuwa kuna time ya question&Answer sasa kuna jamaa akauliza why walichange route kutoka kenya bandari ya mombasa hadi Tz tanga wakati walikuwa wameshaanza hadi engineering design.
Yule Mfaransa alijibu short and Clear kuwa hawawezi risk project ya mabilioni ya dola kwenye nchi takataka kama kenya yenye political instability na watu wasiojielewa kiufupi wakenya wengi wanamatatizo ya akili yanayotokana na maisha magumu.
Barabara za Dar cbd zipi? City Centre ya Dar sasa imefumuliwa wanajenga BRT systems ambayo inacontain World class roads nyingine ni concrete kabisa. Nilijitolea kukuhost..ili uje utoe ushamba...maana unaongea kimawazo tu.
Hako kanairobi CBD ni kadogo sana kwa nchi yenye GDP ya $114b kufumua barabara zote na kujenga upya barabara za kapital city...barabara za Nairobi CBD hazifiki 5km.
Wew uko unatetea ujinga hapa...na sio kwamba Dar is too perfect lakin hatuna masifa kama nyinyi mnaosifia hicho kijiji kama ni level ya Singapore
Hebu Tazama barabara za Dar... ubungo area 10km from CBD.
View: https://youtu.be/kXFNLfE6HMo?si=xHlji1HmngOuZ9Pr
By the way Tanzania sio wajinga kujenga capital mpya.
Barabara za capital city zinafanana hivi
View: https://youtu.be/YEU_QbKu-L8?si=OOIkCaQUo3RcDS9K
Acha kutetetea upumbavu
Saa zingine ukiongea uongo jaribu kusema vitu vinavyoweza kuaminika. Unadhani the French hawana akili kama wewe waite nchi nyingine takataka wakati wanajua wana investments na bilateral relations na hiyo nchi? Nina uhakika hujawai attend seminar yoyote ndio maana uko clueless hivi.Juzi wakati tunafunga seminar ya mwaka Bomba la mafuta ,Eacop kulikuwa kuna time ya question&Answer sasa kuna jamaa akauliza why walichange route kutoka kenya bandari ya mombasa hadi Tz tanga wakati walikuwa wameshaanza hadi engineering design.
Yule Mfaransa alijibu short and Clear kuwa hawawezi risk project ya mabilioni ya dola kwenye nchi takataka kama kenya yenye political instability na watu wasiojielewa kiufupi wakenya wengi wanamatatizo ya akili yanayotokana na maisha magumu.