buffalo44
JF-Expert Member
- May 8, 2016
- 5,126
- 13,106
Kutoka Kigamboni haina Barabara hadi now sijui South wala nini?Haya, wacha nikutoe ujinga sasa.
Hizo picha ulizopost ni za Dege Eco Village. Hiyo sehemu haipo kwa region niliyohighlight. I stated clearly hiyo region iko South of Kigamboni na halina barabara za lami. Hiyo barabara ya Dege eco inaitwa Malindi road na inaishia hapa, haindi moja kwa moja hadi Southern end of Dar es Salaam. Tazama.
View attachment 3182733
Hilo eneo la Geza Machinga lipo sehemu za North, halipo sehemu niliyohighligh.towards the south
View attachment 3182736
Unatuona wajinga au?
Hapo ulipochora Kibada haipo? Geza na Dege Eco haipo?
Toka Mwanzo ulisema Kigamboni haina Barabara uoneshwe, hukusema South area uligeneralize Kigamboni, RRONDO alipokudaka ukaanza ni south na ukaja na Kamchoro kabisa.
Umeanza kuumbuliwa ndio unaenda kujieleza sana, sasa hapo nilipopin hapapo kwenye ulipohighlight?
Ujuaji mwingi