Wanatembelea swagaz za past 😷
Wanatembelea swagaz za past 😷
Nyerere alishakufa tangu 1999 au hujui?😁...Nimesema muulize Nyerere Kambarage
Tena kabla hata hawajazaliwa ha ha ha😁😁Wanatembelea swagaz za past 😷
Unatuletea news ya 2018, alafu tangu lini layoff ikakua shutting down. We mzee ni fala sana. 🤣 🤣
mm natumia milo inayotoka south africa na sijawah kuona sehem yoyote milo imetoka kenya kwa hapa tanzania even colgate ni either south africa or malaysia sasa mm nakushangaa sana munaenda mbio kisa ruto kawaambia ukweli kua tanzania inauza zaidi kenya kuliko kenya inavouza tanzania 😂😂😂Ebu tuonyeshe penye tumesema hizo ni kampuni za Kenya. Najua Unaumia kwamba hizo kampuni decided to put up a manufacturing plant in Kenya and all the Unilever products mnatumia Tanzania zimetoka Kenya zote😂😂
Nilijua lazima wakenya wanahusika kwenye hujuma miundombinu ya SGR yetu, sasa wakenya wataonja joto ya jiwe, wanajuta kuijua Tanzania
View: https://youtu.be/CzRmN_h2H7w?si=Q9OZiY0rsPrwHEMF
Uchawa unategemea nini?Kuna level ya tolerance Kenya wamefika sisi bado sana. Raia wa Tz akisema hivi atapata tabu sana.
View attachment 3178952
Kama nyuma vile 🤣
Very Beautiful. Nairobi huwezi ona vitu vizuri kama hiviKama nyuma vile 🤣View attachment 3179561View attachment 3179563
Nilisahau, pia viwanda vyao wa sukari huwa wana import sukari Brazil na kuiba nyingine kule Somalia ambayo ipo tayari kwa matumizi then wanafunga kwenye packages zao. 😂😂😂
View: https://x.com/iamjoseh_/status/1591067637949542400?s=46
View: https://x.com/edgarwabwire_/status/1867524191085638122?s=46
Nilisahau, pia viwanda vyao wa sukari huwa wana import sukari Brazil na kuiba nyingine kule Somalia ambayo ipo tayari kwa matumizi then wanafunga kwenye packages zao. 😂😂😂
View: https://x.com/iamjoseh_/status/1591067637949542400?s=46
View: https://x.com/edgarwabwire_/status/1867524191085638122?s=46
Ndio unashangaa hapo Hushangai wao kujipa sifa za MARCOPOLO anazotoa kwa SCANIA kutengeneza Polo buses?yani kampuni ya UK mtu analazimisha iwe ya kenya na sijui hua wanapata faida gani yani 2024 bado unataka kushindana na internet 😂😂😂😂😂😂
wakenya ni binaadamu wa ajaby kuwahi kutokea kwenye dunia hii
Kama sio zenu mbona mnajipa umhimu wa kila bidhaa yao?Nani amesema Uniliver ni kampuni ya Kenya? Can you quote or even screenshot that comment here tuone. Mpo desperate sana mitanganyika
Mtu akiskia vile watanzania wanaongea haezijua mko na flyover Tatu pekee nchi nzima😂
Progress
View: https://youtu.be/3rj0eMCA0MA?si=NULFhmF1hX29wa6G