Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ngoja nikusogezee karibu, this is one of the places in Dar es Salaam zenye zinaendelea mbaya. 👇🏾
IMG_3300.png
 
Asee ***** huo mzigo wote?

Wameihujumu treni
Wametishia maisha ya watu 1m wanaotumia SGR
Wameichafua serikali haiko makini na mradi.
Wamefanya mradi uwe doubted na performance
Tumechekwa na kuchafuliwa PR ya Mradi.

Yote wameihujumu nchi pesa zilizotumika kununua hapo.

Inatakiwa washughulikiwe na kila aina ya mateso na kukaa jela maisha yao yote na kazi ngumu.

WAPUMBAVU SANA
Halafu kati ya watuhumiwa Wakenya wapo!
 
Ni wewe tu sasa, pata kujionea vizuri hiloeneo sahii linatandikwa lami na zege tu like every single street. 👇🏾View attachment 3179668wew unadai kuna lami moja tu apart from highway. 😂😂
Umesongesha map just to prove my point. The previous screenshot si ilikua na barabara moja ya lami apart from the highway. Kumbe lami ni za kutafutwa. 🤣 🤣 🤣
 
Back
Top Bottom