Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

You are just idiot. Ungekuwa na akili ungejua importance of bulk buying. I usually do bulk buying for the whole month, sometimes I do 2 months. By the way you can’t do bulk buying if you don’t have money.
Wewe ni mpumbavu na hujui aina yeyote ya maisha zaidi ya mshahara. Sijawahi katika maisha yangu kubajeti or kununua chakula cha mwezi mzima.

Haya ni maisha ya watu waliokulia shida.
 
Kuna energy drink moja pekee ya Azam ilikuwa popular Kenya ikitokea. Nadhani iliitwa Azam Energy drink ila siku hizi haipo tena. Watu wamerudi kwa Red Bull, Monster na Predator.
Predator ndio ilimaliza hio Azam completely.
 
Kwanza predator inauza sana.
Yeah, Red Bull and Monster are the expensive ones. Predator is the cheaper alternative that replaced that azam crap. Azam wanted to take advantage of the lower class but their product was just not good enough. That's why predator replaced them.
 
Yeah, Red Bull and Monster are the expensive ones. Predator is the cheaper alternative that replaced that azam crap. Azam wanted to take advantage of the lower class but their product was just not good enough. That's why predator replaced them.
Azam hata Bravia energy inauza kuiliko
 
Kiingilio inakuanga bei gani huko.?

BTW uwanja wa Azam uko na capacity ya watu elfu 10 na kiingilio ni kati ya 5000 (regular) kiendelea.. ukipiga hesabu hapo utapata ngapi.? Heb tuone.
10000 x 5,000 =50,000,000 (let’s assume hawa watu wote wameingia regular.

Hiyo 700k K sh ni around 13 million Tz money.
Wamenishangaza timu imeingiza ksh 1m sawa na tsh mil 16 mtu anashangilia kana kwamba ni kitu cha ajabu sana, wakati huku watu wanaingiza mpaka tsh 600m per match.
 
Wewe ni mpumbavu na hujui aina yeyote ya maisha zaidi ya mshahara. Sijawahi katika maisha yangu kubajeti or kununua chakula cha mwezi mzima.

Haya ni maisha ya watu waliokulia shida.
Yani wakenya wananishangaza sana, hawa jamaa wana maisha magumu sana alooo, mtu anajibajeti mwezi mzima!!!???🙄
 
Back
Top Bottom