Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

And collects 700k in one match. Can Azam even manage that? Meaning people fill Dandora Stadium every month.
Kiingilio inakuanga bei gani huko.?

BTW uwanja wa Azam uko na capacity ya watu elfu 10 na kiingilio ni kati ya 5000 (regular) kiendelea.. ukipiga hesabu hapo utapata ngapi.? Heb tuone.
10000 x 5,000 =50,000,000 (let’s assume hawa watu wote wameingia regular.

Hiyo 700k K sh ni around 13 million Tz money.
 
Kiingilio inakuanga bei gani huko.?

BTW uwanja wa Azam uko na capacity ya watu elfu 10 na kiingilio ni kati ya 5000 (regular) kiendelea.. ukipiga hesabu hapo utapata ngapi.? Heb tuone.
10000 x 5,000 =50,000,000 (let’s assume hawa watu wote wameingia regular.

Hiyo 700k K sh ni around 13 million Tz money.
Azam Stadium haijawaikuwa hata Quarter full. Sasa unapiga hesabu za hewa ama? All matches in Azam huwa empty.
 
Kiingilio inakuanga bei gani huko.?

BTW uwanja wa Azam uko na capacity ya watu elfu 10 na kiingilio ni kati ya 5000 (regular) kiendelea.. ukipiga hesabu hapo utapata ngapi.? Heb tuone.
10000 x 5,000 =50,000,000 (let’s assume hawa watu wote wameingia regular.

Hiyo 700k K sh ni around 13 million Tz money.
Hapo hujaweka bei za vip tena hizo mechi ni zile ndogondogo, tukija mkapa 60,000* 5000=300mil ksh 17mil
Nasuburia watuletee kama washawahi fikisha hata ksh 10mil kwa mechi moja
 
Hii hadi tho yote una Andika nani? Bongo hakuna purchasing power, it’s just simple like that. And monthly budgeting is done all over the world for efficiency and planning, not everyone wants to keep on going to shopping everyday. Only foolish and idiot people like you ndio hawajui what monthly planning is.

This is USA


View: https://youtu.be/HTbQcvEbEbo?si=LDOHKOHUMHSmSoSr

You need to re-read my post again. Is US socialist state?
 
Hapo hujaweka bei za vip tena hizo mechi ni zile ndogondogo, tukija mkapa 60,000* 5000=300mil ksh 17mil
Nasuburia watuletee kama washawahi fikisha hata ksh 10mil kwa mechi moja
What happened to your 250k you were earning per day? Ama Tangu nigundue you are living a fake life the earning pia ikapotea?😂
 
What happened to your 250k you were earning per day? Ama Tangu nigundue you are living a fake life the earning pia ikapotea?😂
Siku zote maskini huwa anatafuta jinsi ya kujishowoff , Sasa wengine hatuna hulka hiyo kwa hiyo toka nilivogundua wewe ni maskini wa kutupwa ambaye huna uelewa wowote na huna financial freedom yoyote sijisumbuagi hata kukujibu maana najua una njaaa tu.
Mikono yako tu innaonyesha umekauka
 
Siku zote maskini huwa anatafuta jinsi ya kujishowoff , Sasa wengine hatuna hulka hiyo kwa hiyo toka nilivogundua wewe ni maskini wa kutupwa ambaye huna uelewa wowote na huna financial freedom yoyote sijisumbuagi hata kukujibu maana najua una njaaa tu.
Mikono yako tu innaonyesha umekauka
Ulijaribu kushow off na picha ya uongo nikakushika, wewe ni fukara tu na ndio maana unaomba picha kujidanganya nazo😂😂.
 
Hakuna kiwanda chochote cha bidhaa yoyote ya Unilever au Nestlé au Nivea, Ariel mna depots only
Sawa kunguni.

1734433140274.png

1734433198653.png
 
Back
Top Bottom