Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Jamani free advice mnapewa msije mkajilaumu baadae!
IMG_0557.png
 
Jaribu kuwajua vizuri mzee! Angalia mahojiano ya Bien ni yaleyale ya kuuma na kupuliza! Naye anataka level ya Diamond Platnumz! Watu wanatungiwa mashairi na Watanzania na wamevunja Sauti sol juzi! Wasanii wa Kenya ni lazy na wajinga!

😂😂
Muwape hata faraja jamani watani zetu hamuoni wamenyongonyea, tuwape pumzi kidogo heheeee
 
Ni pale unapoona Wasanii wa Kenya wanapotumia huu mgogoro kutangaza events zao unabaki kujiuliza, kwani hii sector ipo fucked up kiasi gani huko Ukunyani? Mpaka wawe desperate namna hii kufikiri Furaha festival wataacha kulipa Diamond a business magnet walipe mtu kama Jessy?


View: https://youtu.be/yyXGavN6IRo?si=BgXZX9V5kn14ewTg

🤷🏿‍♂️🤷🏿‍♂️

Hawa tunao mpaka tupate Mada mpya ndo tutahama
 
I don’t get why is English bothering you so much 😂😂😂 what do you mean English nyingi…kuzungumza kiingereza sio kujifanya mzungu.
Katika dunia ya utandawazi, ni lazima ujizoeeshe lugha inayozungumzwa na wengi huku ukidumisha fahari katika lugha yako, ila pia ujue Kiswahili sio lugha yako ya halisi ila ni Lingua Franca ilioathiriwa na kuchukua maneno na misamiati kutoka lugha mbalimbali kama vile kibantu na kiarabu, kwa hivo kama unajivunia lugha yako ya asili basi ongea kwa kisukuma ama lugha yako ya mama na muache kumiliki lugha ya kiswahili kama kwamba ni chenu.
English in bother kivipi? Eti kiswahili sio lugha yetu? Ni yenu basi kazi kupiga broken kila language.

Kiswahili hamkiwezi, English ya Ugoko, mnaweza nini?

Msitake kutuletea ufala wenu wa Jaluo na Kikuyu baki nao.
 
Back
Top Bottom