Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Muwape hata faraja jamani watani zetu hamuoni wamenyongonyea, tuwape pumzi kidogo heheeee
Hakuna kulegeza ni kuwapiga na vitu vya ncha kali mwanzo mwisho mpaka waondoke humu wote waende kwenye platform zao jua kali ili tubaki pekeetu humu tupeane vitasa.
 
Those are not school buses, tafuta wajinga wenzako udanganye.
Oh!! Utakufa maskini kijana

1733914226601.jpeg
 
Back
Top Bottom