Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

IMG_0134.PNG
IMG_0135.PNG
 
ndugu chokoraa wewe unafaa kulipa karo kwangu nikufanyie tuition.........habari ya uswazi kugumu?
Nadhan baada ya collo kinachofuata ni mimi kukushow how naweza kulisha ukoo wenu....


Kenyan poor people lyk u...huwa unanisikitisha tu
 
Nadhan baada ya collo kinachofuata ni mimi kukushow how naweza kulisha ukoo wenu....


Kenyan poor people lyk u...huwa unanisikitisha tu



wewe hata mende zetu huwezi lisha......nakupa pole zangu kwa uswazi kugumu .mola atakukumbuka mtapatapaji
 
Also, congrats to Azam TV...nimependa sana upeperushaji wao na pia jinsi wanavyoinyorosha Multichoice ya Afrika Kusini...itabidi tumeiinua ili DSTV na GOTV ziwe ujinga humu East Africa....I hate South Africa sio siri...
 
Kumbe uimara wa shilingi kama ya kenya ni urembo tu sio ishu.
# cosmetics tu sio! Hahaha.. Atakuja kama currency yao IPO juu.. Ukimletea scenario hiyo hiyo currency superiority inakuwa obsolete.. Anageuka.. Sio ishu! Mwanzo nimepata shida sana.. Sasa hv nimewazoea..
 
Back
Top Bottom