kadoda11
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 21,453
- 20,755
nyinyi si ni watu wa middle economy...vp tena mnalalamikia ughali wa huduma za dstv?.Itulete EPL....azam tutanunua kesho..Ds ni expe sana
nyinyi si ni watu wa middle economy...vp tena mnalalamikia ughali wa huduma za dstv?.Itulete EPL....azam tutanunua kesho..Ds ni expe sana
vyuma vimekaza kaka vijana hawana ajira wala ardhinyinyi si ni watu wa middle economy...vp tena mnalalamikia ughali wa huduma za dstv?.
Sasa ukianza matusi??...I respect people with disabilitywhere is the official link??? kama huna tuliza makalio
Haha if its cheaper ata south A mtapenyeza...but for now hamtosinyinyi si ni watu wa middle economy...vp tena mnalalamikia ughali wa huduma za dstv?.
dstv licha ya kwamba ni ghali,hapa tz watanzania na u-LDC wetu tunaitumia na hatulalamiki.Haha if its cheaper ata south A mtapenyeza...but for now hamtosi

matusi unayajua wewe😀😀😀😀Sasa ukianza matusi??...I respect people with disability
na by the way dstv imeshuka bei sana tanzania baadakupata ushindani mkali kupitia azam tvdstv licha ya kwamba ni ghali,hapa tz watanzania na u-LDC wetu tunaitumia na hatulalamiki.
mimi kwangu nina decoder mbili,nina ya azam tv na dstv and life goes on as usual like i'm not a citizen of an LDC country.![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
bakhresa mtu mbaya sana....ameinyorosha vibaya sana dstv kiasi cha kufikia hatua ya kufanya PA mtaani na kusambaza vipeperushi mabarabarani kama vile makampuni ya vilevi, kitu ambacho hapo awali walikuwa hawafanyi.na by the way dstv imeshuka bei sana tanzania baadakupata ushindani mkali kupitia azam tv
wewe imagine dstv tanzania imeshuka bei mpaka elf 79 tsh tena wanabembeleza ununue 😀😀😀bakhresa mtu mbaya sana....ameinyorosha vibaya sana dstv kiasi cha kufikia hatua ya kufanya PA mtaani na kusambaza vipeperushi mabarabarani kama vile makampuni ya vilevi, kitu ambacho hapo awali walikuwa hawafanyi.![]()
![]()
yule mpemba siyo wa mchezo mchezo.
na by the way dstv imeshuka bei sana tanzania baadakupata ushindani mkali kupitia azam tv
zuku wamepotelea wapi?.wewe imagine dstv tanzania imeshuka bei mpaka elf 79 tsh tena wanabembeleza ununue 😀😀😀
azam tv ndio kinoko ya east and central africa, RIP zuku

kwanza decorder and dish ful set wanauza tanzania elf 79 ni kama 3200 ya kenyahow much is the monthly charge for a premium package in tz? . in Kenya we pay 7k
buda mimi huwa sina shaka na owners wa azam tv...ni watu wasikivu sana...na wanajua ushindani uliopo katika biashara ya paytv.but Dstv now has a WiFi router as part of its incentive to win back customers........kama azam haitachangamka itabidi nitafute tu Dstv.....