Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,919
- 103,789
Basi tuonyeshe kitu wanajenga na ikifika 20 floors nahama JF, mark my words.Chizi wewe umezoea kuropoka hovyo.
Unazani mimi ni jobless kama wewe. Muda utafika utawekea. Siishi maisha ya kubatisha na ratiba. Tulia utawekewa.Acha maneno mengi, just show us any building under construction in Dar with 20 floors and above. Mimi Usiniandikie insha, just post the picture and save us time.
Wa Congo na watu wa wivu sana kimaisha kama kunyaland... Madereva wa Tanzania wanapata changamoto sana uko... Uko semi zinapigwa sana mawe sio tu za watanzania hadi za Zambia...Hizi chuki zinatokana na kwamba tuna-control biashara kule! Kenya moo nyuma ya hili!
Huyu mbwa Teargas anashangilia as if Kule South Sudan madereva wao hawauwawi!Wa Congo na watu wa wivu sana kimaisha kama kunyaland... Madereva wa Tanzania wanapata changamoto sana uko... Uko semi zinapigwa sana mawe sio tu za watanzania hadi za Zambia...
Mganda anachotaka ni alternative route na kwenye efficiency hata ukifikisha sgr Kampala halazimiki kuitumiaOption ya Uganda via Mutukula mipango mlikuwa mnaweka nyie hapa JF lakini sio mipango ya serikali. Mpango wa serikali ni ku serve route ya Uganda from lake victoria.
Hilo nginjanginja litachukua 2 days kufika malaba at 80kph then half a day to Kampala at most the whole trip will use 3 days Mombasa to Kampala.
Tz sgr 7 hours to mwanza from Dar port then overnight to Port Bell hardly 24 hours.
Mimi nipo kariakoo kila siku, i know what you are saying. Big bon sahii wako floor ya tatu. So many high rise buildings under way.Huyu nimemwambia aweke vifusi vyake vyote akimaliza ipo siku nitaingia either kariakoo au Upanga nimuonyeshe Nini maana ya ujenzi.... Anatuletea mambo ya skyscraper city akizani sisi ni jobless kama wao. Kazi siku zote ufanywa kimia kimia..
In short haziko, sindio?😂😂😂Unazani mimi ni jobless kama wewe. Muda utafika utawekea. Siishi maisha ya kubatisha na ratiba. Tulia utawekewa.
Huyu mbwa Teargas anashangilia as if Kule South Sudan madereva wao hawauwawi!
View: https://x.com/NationBreaking/status/1429791404583182343
View: https://x.com/KhalifKairo/status/1589897113957122048
Watamalizia kwa floor ya Tano, hakuna building under construction in Tanzania with 20 floors.Mimi nipo kariakoo kila siku, i know what you are saying. Big bon sahii wako floor ya tatu. So many high rise buildings under way.