Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Lungalunga border Sasa ndio Moshi?๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Bro, Lungalunga Iko huko pwani. Zaidi ya kilometer 400 kutoka Moshi. Kubali unatumia video za watu ukidanganya ni zako.๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Umemshika makende๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ.

Jamaa hajui penye moshi iko na pia hajui penye lungalunga iko, ni wapi anajua Tanzania tofauti na kwao?๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Wanakuwanga watu wa kulialia alafu wanadhani the rest of the world wataruchukulia wanavyotuchukulia.๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Mimi saa zingine Najua habari za buildings kuanguka Kenya kutoka kwa watanzania, lakini mimi nikiwaambia their government is lazy to save people from a collapsed two floor building wanalia ati sina utu๐Ÿ˜‚
 
Umemshika makende๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ.

Jamaa hajui penye moshi iko na pia hajui penye lungalunga iko, ni wapi anajua Tanzania tofauti na kwao?๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Yani yupo tu. Ni kama useme Kisumu border na umeng'ang'ana kabisa Kisumu border. Hata mwenzake Geza Ulole amenshangaa. Jamaa lipo hapo Tandale kazi ni kuiba picha na video mtandaoni likijifanya eti limetembea.๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Manufacturing industry is 7.8% of Kenyaโ€™s GDP and Vehicle manufacturing accounts for 23% of it.

In short the value of Vehicle building industry is more than $2B.
1731950111539.jpeg
 
Kainuk to Nadapal pekee ni 408km - yote lami. Arusha Province yote ni 430km.๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Hawa watu bado wako backward. Ndio maana huwa nawaambia whatever they are building now is to try to catch up with Kenya juu tumewaacha mbali sana.
 
Hii road ipo lodwar au lokitong.? ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚lokitong yenye wananchi wanakosa umeme two months in a row. ๐Ÿ‘‡๐Ÿพ
View: https://youtu.be/kZ5axxxUYeo?si=9iRDl4oMjMCF41u1. ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ uongo mtaacha lini.?

Bongolala, hivi, hata kusoma hujui? Huoni mahali pameandikwa Lokitaung on the bottom right of the picture?

Stop talking about umeme wa Lokitaung wakati Dar cbd yenyewe umeme ni ndoto
 
Kainuk to Nadapal pekee ni 408km - yote lami. Arusha Province yote ni 430km.๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
wewe jamaa kweli ni chizi. Unalinganisha road that crosses counties vs roads in one region.? ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ Arusha by the way iko na high ways 468km. Haya hii niambie hii distance si ni ya Arusha Dar.? ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ‘‡๐Ÿพ
IMG_2940.png
 
Kainuk to Nadapal pekee ni 408km - yote lami. Arusha Province yote ni 430km.๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Kama kweli unataka fair comparison, tell us how many km of roads (high ways in kisumu boundaries). Then tulinganishe na zile za Arisha region. ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ sio unataja barabara za kukatisha nchi nzima ya kenya vs a single region in Tz.
 
Kama kweli unataka fair comparison, tell us how many km of roads (high ways in kisumu boundaries). Then tulinganishe na zile za Arisha region. ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ sio unataja barabara za kukatisha nchi nzima ya kenya vs a single region in Tz.
Baboonman road network ya Kisumu is longer than even ya Dar is Slum.
 
Back
Top Bottom