Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

akili gani wanayotumie ikiwa escavators and wheeloader zinakuja over 15 hrs baada ya tukio alaf tunaongea nn hapa


View: https://x.com/_itsmalume/status/1857895079651979399?s=46


Chief umebadilika sana.. Achana na ligi za kitoto.

Mtandaoni mambo ni mengi usiokote Yote. Greda zilifika mapema na dumper trucks za kutosha. Ila ile go ahead ya kuanza kazi ndio ilichelewa.

Na Greda zilifika mapema maana kuna zilizokuwa jirani tu za mkandarasi wa SGR Yapi Merkezi. Ndio Gredaza za kwanza kufika eneo la tukio saa 3 zilifika 2.

Halafu ujue kuendesha excavator kwa mjini kama iko mbali ni changamoto... Speed hakuna mule.. Plus watu walijaa kushangaa shangaa hivyo movement haikuwa rahisi. Bongo elimu ya majanga bado sana.

Ghorofa imeanguka ila bado watu wana panda maghorofa ya jirani ili kushangaa na kupiga chini. Bila kufikiri athari na usalama wa majengo ya jirani.
 
ntoINqT.jpeg
NsRLVBz.jpeg
 
akili gani wanayotumie ikiwa escavators and wheeloader zinakuja over 15 hrs baada ya tukio alaf tunaongea nn hapa


View: https://x.com/_itsmalume/status/1857895079651979399?s=46

Hizi ni propaganda za wapuuzi mkuu, jana nilikua hapo, kimsingi serikali imefanya wajibu wake, baadhi ya barabara zilifungwa kabisa katika kutekeleza hilo. 👇🏾
IMG_2920.jpeg
hii ilikua ni saa 12 jioni, hapo watu walikua wanafukuzwa wasipite kwenye hii barabara ya msimbazi hadi junction ya Uhuru Wanajeshi walikua wengi mno.
 
Chief umebadilika sana.. Achana na ligi za kitoto.

Mtandaoni mambo ni mengi usiokote Yote. Greda zilifika mapema na dumper trucks za kutosha. Ila ile go ahead ya kuanza kazi ndio ilichelewa.

Na Greda zilifika mapema maana kuna zilizokuwa jirani tu za mkandarasi wa SGR Yapi Merkezi. Ndio Gredaza za kwanza kufika eneo la tukio saa 3 zilifika 2.

Halafu ujue kuendesha excavator kwa mjini kama iko mbali ni changamoto... Speed hakuna mule.. Plus watu walijaa kushangaa shangaa hivyo movement haikuwa rahisi. Bongo elimu ya majanga bado sana.

Ghorofa imeanguka ila bado watu wana panda maghorofa ya jirani ili kushangaa na kupiga chini. Bila kufikiri athari na usalama wa majengo ya jirani.
ukisema ligi za kitoto unakua na maana gani mzee??

kaka aliekwambia grader na wheeloadeea zilifika mapema ni nani??

hebu chukua mfano mdogo ndani ya kifusi angekuwepo mtoto abduli je brazil tungeenda?? au ng'ombe wa maskini hazai siku zote???

tumeambiwa serekali imenunua ambulance nyingi sana ziko wapi au watu washachomoa spare ziko juu ya mawe ikiwa wagonjwa wanabebwa kwenye suzuki carry, aibu gani hii kama taifa au unataka tushangilie kitu gani hapa, wanakuja viongozi lukuki misafara inazuia mpaka shughuli za uokoaji

juzi nimeona wabunge kutoka spain wanatoa tope barabarani sisi kwetu viongozi wanakuja wanakaa kwenye viti wanakunywa maji na kupiga picha ili waonekane kwa jamii na kwa rais

hvi bro nikuulize swali wewe kwa population ilivo kariakoo unahisi gorofa limefukia watu wapatao wangap???

weka akilini hili ni janga la kitaifa na hatuongei kufurahisha tunaongea tujifunze ikiwa jeshi la uokoaji linatumia 5 to 6hrs kuja kwenye tukio ambalo liko city center basi tunasafari ndefu sana
 
Back
Top Bottom