Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kenya currently have 23,000KM of paved roads.

IMG_0767.png
 
Watakuonyesha ile ya 2017 ya World Bank. 😂 😂
Wanasema hakuna projects zinaendelea Kenya while we consume more cement than them😂😂

Kenya Cement Consumption 2023 is 9.2M tonnes.
IMG_0767.png


Tanzania cement consumption is 8M tonnes.
IMG_0768.png
 
Yani udownload video mtandaoni utandanganye sisi ambao tumetembea hizo sehemu? Kuna Border Moshi? 😂 😂 Mnapenda kujifanya wajuaji sana na uongo uongo. Hapo ni Illasit wee poyoyo. Kutoka Moshi hadi hapo takriban 80km.
Halafu kabisa umeongeza story eti ulikuwa na demu wa Kikamba. Unatamani sana dem wa Kikamba eeh?😂😂
Lungalunga border ipo wapi,then sikiliza clip ya pili demu ananionya na jamaa hapo kilimani kuna wezi wa simu na nikafunga kioo,sikiliza kiswahili chetu,eti nidownload online!
 
Serialism ya Tanzania imeshindwa kuokoa watu wenye wamefunikwa na gorofa ilianguka Kariakoo, I think Tanzanians are just lazy right from their President down to the unborn baby. Gorofa enyewe ni ya 2 floors, sijui ingekuwa za 9-10 floors kama zile za Nairobi ingekuwa aje?
Mengine unaacha yakupite. Ujuaji hauna faida ya yoyote. Kukaa kimya ni busara.

Hii battle isikufanye ukose utu. Watu 16 wamekufa pale.
 
Mengine unaacha yakupite. Ujuaji hauna faida ya yoyote. Kukaa kimya ni busara.

Hii battle isikufanye ukose utu. Watu 16 wamekufa pale.
Nyinyi watanzania sijui mnakuanga aje? When buildings fall in Nairobi mnashingilia na kuzipost hapa 2 weeks none stop, lakini building moja ikianguka Tanzania mnataka tuwe na utu?

What kind of double speak is that? Ama za Kenya pekee ndio zinafaa kushangiliwa zikianguka?

NairobiWalker come see this😂😂
 
Lungalunga border ipo wapi,then sikiliza clip ya pili demu ananionya na jamaa hapo kilimani kuna wezi wa simu na nikafunga kioo,sikiliza kiswahili chetu,eti nidownload online!
Lungalunga border Sasa ndio Moshi?😂😂

Bro, Lungalunga Iko huko pwani. Zaidi ya kilometer 400 kutoka Moshi. Kubali unatumia video za watu ukidanganya ni zako.😂😂
 
Hii road ipo lodwar au lokitong.? 😂😂😂lokitong yenye wananchi wanakosa umeme two months in a row. 👇🏾
View: https://youtu.be/kZ5axxxUYeo?si=9iRDl4oMjMCF41u1. 😂😂😂 uongo mtaacha lini.?

Wewe baboonman, after umegundua Lokitaung has paved roads sasa umehamia kwa electricity? At least they have electricity, remember more than 55% of Tanzanians still don’t have electricity in their homes.


View: https://x.com/WilliamsRuto/status/1027555090029334528
 
Nyinyi watanzania sijui mnakuanga aje? When buildings fall in Nairobi mnashingilia na kuzipost hapa 2 weeks none stop, lakini building moja ikianguka Tanzania mnataka tuwe na utu?

What kind of double speak is that? Ama za Kenya pekee ndio zinafaa kushangiliwa zikianguka?

NairobiWalker come see this😂😂
Wanakuwanga watu wa kulialia alafu wanadhani the rest of the world wataruchukulia wanavyotuchukulia.😂😂
 
Back
Top Bottom