Teargas
JF-Expert Member
- Mar 28, 2021
- 21,849
- 24,773
Kama hamjengi manyumba za 17 floors huko usiniletee ujinga wako hapa.
hakuna shida mkuu tuendelee kushangilia tuHizi ni propaganda za wapuuzi mkuu, jana nilikua hapo, kimsingi serikali imefanya wajibu wake, baadhi ya barabara zilifungwa kabisa katika kutekeleza hilo. 👇🏾View attachment 3154857hii ilikua ni saa 12 jioni, hapo watu walikua wanafukuzwa wasipite kwenye hii barabara ya msimbazi hadi junction ya Uhuru Wanajeshi walikua wengi mno.
Hapa sio mahala pake kwasasa my young poor brother. Let’s discuss issues concerning this battle. No more personal issues.Wewe fukara wa kuvaa rugs naona umerudi.
Baboonman.
View attachment 3154858View attachment 3154860
Trouser ya mtumba ya 30 bob😂😂👇
View attachment 3154861
Discuss whatever you like, I’ll discuss what i like.Hapa sio mahala pake kwasasa my young poor brother. Let’s discuss issues concerning this battle. No more personal issues.
Baboonman mambo vipi na trouser ya mtumba ya 30 bob bwana😂😂👇👇Hakuna construction boom ya gorofa mbili tatu mkuu. Au hili neno umelibadili maana .?
Hunipati tena huko nishatoka poor boy..Baboonman mambo vipi na trouser ya mtumba ya 30 bob bwana😂😂👇👇
View attachment 3154869View attachment 3154870
Don’t worry, I’m not here to get your attention. I’m just here to laugh at you and your mtumba trouser ya 30 bob😂😂Hunipati tena huko nishatoka poor boy..
Mimi sio level yako mzee usilazimishe.. wewe ni maskini..Don’t worry, I’m not here to get your attention. I’m just here to laugh at you and your mtumba trouser ya 30 bob😂😂
View attachment 3154874View attachment 3154875
📍📍📍🔨🔨🔨Tanzania is far much behind Kenya in development, so i’m not surprised with your cries.
ukisema ligi za kitoto unakua na maana gani mzee??
kaka aliekwambia grader na wheeloadeea zilifika mapema ni nani??
hebu chukua mfano mdogo ndani ya kifusi angekuwepo mtoto abduli je brazil tungeenda?? au ng'ombe wa maskini hazai siku zote???
tumeambiwa serekali imenunua ambulance nyingi sana ziko wapi au watu washachomoa spare ziko juu ya mawe ikiwa wagonjwa wanabebwa kwenye suzuki carry, aibu gani hii kama taifa au unataka tushangilie kitu gani hapa, wanakuja viongozi lukuki misafara inazuia mpaka shughuli za uokoaji
juzi nimeona wabunge kutoka spain wanatoa tope barabarani sisi kwetu viongozi wanakuja wanakaa kwenye viti wanakunywa maji na kupiga picha ili waonekane kwa jamii na kwa rais
hvi bro nikuulize swali wewe kwa population ilivo kariakoo unahisi gorofa limefukia watu wapatao wangap???
weka akilini hili ni janga la kitaifa na hatuongei kufurahisha tunaongea tujifunze ikiwa jeshi la uokoaji linatumia 5 to 6hrs kuja kwenye tukio ambalo liko city center basi tunasafari ndefu sana
Kweli mkuu, mimi nilichelewa kufika eneo la tukio kama masaa mawili hivi, lakini greda nilizikuta.Mimi ndio nakwambia greda zilifika mapema sana pamoja na dumper trucks.
Ligi za kitoto ndio kama hizi za ubishi tu bila kuwa na facts. Nilikuwepo eneo la tukio nusu saa tu baada ya janga kutokea. Na hizo greda zilifika muda huo huo.
Huu uzi unaonesha watu wana interest na watu badala ya kuwa na interest na Nchi kwanza. Of which it's very bad. Siku jua hilo hapo kabla
Uzuri sivai takataka za 30bob na kukula chakula cha wafungwa kama wewe 😂😂Mimi sio level yako mzee usilazimishe.. wewe ni maskini..
Whaterver that navaa, you can’t afford. Chill. Vitu unavaa vipo allover JF, everyone knows you.Uzuri sivai takataka za 30bob na kukula chakula cha wafungwa kama wewe 😂😂
Tanzania is the 25th poorest country in the world with 80% poor citizens which among them there are 56% extremely poor souls, mbona nisiiseme vibaya?View attachment 3154873
Kunyan primitive ya kuisema vibaya TZ uwa unaitolea wapi!
Bro, nobody anaezashindwa kupata 30 bob hapa kununua hii takataka 😂😂👇👇Whaterver that navaa, you can’t afford. Chill. Vitu unavaa vipo allover JF, everyone knows you.
Chill, najua the reason unahangaika. Chill bro. Uko down.Bro, nobody anaezashindwa kupata 30 bob hapa kununua hii takataka 😂😂👇👇
View attachment 3154905
Nobody anaezashindwa pia kupata 20 bob ya kununua Pepsi 😂😂👇👇
View attachment 3154906