Leta data za usajili nadhani tulishawahi ku compare hii mada hapo nyuma.Siongei kuhusu density, naonge kuhusu registered vehicles zenye number plate
Kenya kuna magari mengi kuliko Tanzania 👌🏻
Na kenya ina population ndogo kuliko Tanzania
Leta data za usajili nadhani tulishawahi ku compare hii mada hapo nyuma.Siongei kuhusu density, naonge kuhusu registered vehicles zenye number plate
Kenya kuna magari mengi kuliko Tanzania 👌🏻
Na kenya ina population ndogo kuliko Tanzania
Leta data za usajili nadhani tulishawahi ku compare hii mada hapo nyuma.
Huyu mzee wa watu mpumzisheni sasa huu ni wakati wa mama kuchukua sifa maana ndie yuko kwenye usukani akija mwingine sifa zitahamia kwake pia. Kila zama na kitabu chake.wivu mm wann utanisaidia nn hapa tunaongea facts unafkiri bila kuweka mazingira wezesh kwenye sekta ya afya aliofanya mageuzi makubwa sana magufuli haya unayoyaona leo yangekuwepo, hospital za umma zilikua hazina hata panadol alaf leo tumesahau mageuzi makubwa alioyafanya, hakuna sekta inayofanya vzr nchii ambayo haina athari ya magu hakuna na haitakuwepo
mm mwenyewe nilikua situmii hospital za serekali kwasababu ya urasimu lakini kipindi chake nilijaribu kwenda amana hospital watu walinyooka kama ruler na dawa zote zilikuwepo na huduma zote unapata kwa wakati na nafuu na hakuna x ray mbovu wala MRI 😂😂😂😂😂
We have quality roads nyef nyef nyef 🤣🤣🤣🤣
Hapa watu wanalaumu kuwa hakuna kinachoendelea kama vile nchi imesimama,Huyu mzee wa watu mpumzisheni sasa huu ni wakati wa mama kuchukua sifa maana ndie yuko kwenye usukani akija mwingine sifa zitahamia kwake pia. Kila zama na kitabu chake.
Huu uchafu hauwezi kuruhusiwa kwa roads za Tanzania.
We have commuter rail Service. So stendi ndio development? Kweli watanzania ni wajinga😂😂🤣
Kigoma wana mawese mkuu ni kuliongezea jitihada tu hili zao.Chakula hakiwezi kuachwa kulimwa Bali tunatakiwa kupiga kampeni kwenye Yale maeneo ambayo hawana zao la kibiashara mfano mikoa kama kigoma
Improved public transportation system itapunguza foleni.So tuwache kutumia magari ama?
Atakutana na viongozi wengine huko na kufanya nao informal or side talks ambazo zitasaidia katika kukuza ushirikiano wa kibiashara na kiuchumi.Ebu nikulize kitu, kuenda kwa Samia Brazil inasaidia watanzania na nini? Do you usually have brains?
BRT mbona unaua mende kwa nyundo? Atuoneshe tuu central bus station ya Nairobi tuu ili tuweze kuchakata hizo taarifa alizozitoa kuhusu maendeleo.Ndiyo utuambie imeendelea kwenye nn ikiwa haina hata brt 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mbona isipunguze za developed countries like Japan, China and USA? Their public transport system is far better than any country yet they still experience the worst traffic jam.Improved public transportation system itapunguza foleni.
Mkuu mawese hayatoshi inakuwa kama korosho, wanatakiwa wawe na zao la Kila msimu. Kwangu naona kigoma wangehimizwa kwenye ngano, soya na kadhalika huku na mawese yakiendelea kama ilivyo kwa Lindi na mtwara ambako Kuna korosho lakini wanahimizwa kwenye ufuta, choroko na mbaaziKigoma wana mawese mkuu ni kuliongezea jitihada tu hili zao.
Vijamaa vinatabia ya kurudisha Mada nyuma. 😂😂 hii Mada tumejadili mara nyingi mno na mara zote walifyata mkia leo wameileta tena. 😂😂😂Hii tulishai discuss in deep na mkakimbia, usijifanye mwehu.
Watanzania wa kawaida hawezi afford kununua hili gari na marembesho yakeHuu uchafu hauwezi kuruhusiwa kwa roads za Tanzania.
Leta data za usajili nadhani tulishawahi ku compare hii mada hapo nyuma
Ata ingekua 1 regoin how comes Kenya is richer than TanzaniaHakuna mtu anakataa hilo because more than 70% population ya Kenya iko concentrate in a small area equivalent to 2 or 3 regions of Tanzania.
Richer kivip kwa mfanoAta ingekua 1 regoin how comes Kenya is richer than Tanzania