Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kuna mtu anaeipinga sgr kama wewe kwa mtu aliye na akili timamu anafahamu reli ndio mkombozi sio maroli yanayo haribu barabara acha kaziendelee mwisho wa siku utaelewa tu nilijua ungepinga wakajenge barabara
Punguza wenge,ni mapema sana.

Pili elewa mantiki yangu,sipinga Sgr kama Sgr Bali napinga Sgr kama kipaombele over barabara.

Barabara zikamilike kwanza ndio Sgr zifuate maana kichocheo Kikuu Cha Uchumi na uhitaji wa Umma ni Barabara
 
Kenge ni kenge tu na mbuzi ni mbuzi huwezi vibadilisha
Punguza wenge,ni mapema sana.

Pili elewa mantiki yangu,sipinga Sgr kama Sgr Bali napinga Sgr kama kipaombele over barabara.

Barabara zikamilike kwanza ndio Sgr zifuate maana kichocheo Kikuu Cha Uchumi na uhitaji wa Umma ni Barabara
 
Kwanza umekula maake inawezekana njaa inakusumbua hakuna siku hata moja akili yenye njaa ikawaza maendeleo ndiyo maana viongozi wenu wajenga miradi kinjaa njaa
I eat better food than you. Najua nikianza kuwaonyesha mtasema nina utoto, wewe endelea kula mhogo cause that’s what you can afford.

Alafu ni maendeLeo gani unaongelea when Kenya is more developed than Tanzania?
 
Moja ya maendeleo ni public transport vipi nairopori mnao kama brt na standi za kisasa nionyeshe hata moja huenda nimesahau
I eat better food than you. Najua nikianza kuwaonyesha mtasema nina utoto, wewe endelea kula mhogo cause that’s what you can afford.

Alafu ni maendeLeo gani unaongelea when Kenya is more developed than Tanzania?
 
Wah!😳
Is this how Tanzanians reason? How is population density related to number of cars in a particular country?

Aren't we just supposed to use vehicle registration data to know the number of cars in Kenya and Tanzania? How does population density come in in this case?
Kama huwezi kuchanganua relationship between population density na number of cars basi elimu yenu ni duni sana. Maana mwenzako alijinasibu kuwa uwingi wa foleni za magari Kenya ni mkubwa na akaenda mbali kuwa hii inaonesha kuwa Kenya kuna magari mengi kuliko Tanzania ndio nikamjibu hivyo.
 
Ingekuwa ni hivyo hawangekuwa wanapokea mishahara midogo ikilinganishwa na wenzao kutoka Kenya
Mnachoshindwa kuelewa ni kuwa nyie mnapokea mishahara mikubwa kwasababu cost of living Kenya ni kubwa sana unlike Tanzania. Hela nyingi inaingia mfuko wa kulia na nyingi inatokea mfuko wa kushoto mwisho wa siku nothing is left in your pockets.
Our purchasing power iko juu kuliko yenu with 1USD I get more products in Tz than in Kenya.
 
Moja ya maendeleo ni public transport vipi nairopori mnao kama brt na standi za kisasa nionyeshe hata moja huenda nimesahau
We have commuter rail Service. So stendi ndio development? Kweli watanzania ni wajinga😂😂🤣
 
Kisumu

1731663170234.jpeg
 
We are responding to your fellow kunyan kuwa heavy traffic in kenya is an indicator that Kenya has more vehicles than Tanzania. Ndio tukamjibu kuwa alot of people reside in Central western area hence car density obviously itakuwa kubwa but that does not mean kuwa kenya ina gari nyingi kuliko Tanzania.
So hili swali uliza your fellow kunyan who equated heavy traffic to number of vehicles in Kenya as compared to Tz.
 
Back
Top Bottom