NairobiWalker
JF-Expert Member
- Oct 31, 2012
- 16,395
- 17,977
Nimeangalia nikachoka nikajua utakuja kumjibu visawasawa.🤣🤣Indeed you are a baboon. Kwa airstrip Unataka kuona barabara ya nini?
Nimeangalia nikachoka nikajua utakuja kumjibu visawasawa.🤣🤣Indeed you are a baboon. Kwa airstrip Unataka kuona barabara ya nini?
Pole sana Mangaka - mtambaswalaHio Mangaka town yenye ikona paved urban road moja pekee na inaishia kwa office ya DC. 🤣 🤣 🤣 Bongoslum munahesabu highway kama urban road. 🤣🤣🤣
Nafundisha kiswahili bure kabisa 😂😂😂😂You are just foolish, hujui tofauti ya length and width. No wonder you look like a baboon😂😂👇👇
View attachment 3127674
Poor boy 😂😂😂 unatapa tapatapa tu.Know the difference between a news paper and journal. Indeed you are a baboon😂😂
View attachment 3127678
Ohh furthest point ni mtambaswala- bukoba na yote ni paved na Kuna option mbili ambazo zote pavedWewe unaelewa mjadala ama unakimbilia tu kupayuka tu?🤣
Anyway, the two furthest towns from each other in Kenya ni Lungalunga na Lokichoggio (1409km) na kutoka Moja Hadi nyingine ni full tarmac. Ama ulitaka tujenge Hadi tuingie nchi jirani tukufurahishe?🤣
View attachment 3127671
Its very clear hiyo picha nimepost covers the whole town na hiyo airstrip within. 😂😂😂 barabara ziko wapi mbwa wewe .?Nimeangalia nikachoka nikajua utakuja kumjibu visawasawa.🤣🤣
Ukinionyesha four streets in Mangaka town with paved roads kama hizi za Marsabit nafunga hii account sahii. 🤣 🤣 🤣 Towns zenu mingi zimejaa unpaved roads, streets ni vumbi tupu.Pole sana Mangaka - mtambaswala
0.950km main road the council
1 km kuzungukia kilimanihewa kuja stendi mpaya
850mt kwenda hospitali
Marsabit ngap
ni wapi sio nanyumbu
Anyway tuje kwenu inakuwaje county nzima ya marsabit Ina km 2?
Na kukuongezea nanyumbu ni kamji kadogo sana ila kana barabara nyingi kuliko marsabit
Kila kitu kinaundwa ili kufikia raia wa rika zote.Eti hakuna faida? Unajua maana ya convenience kweli? The retail market in bongoslum is very informal ndio kwa maana wengi wenu hamfanyi shopping kwa supermarkets/malls ju bei ziko juu sana. Kenya supermarkets are cheaper than local shops. Ndio kwa maana kila mtaa utapata ina mall ama big supermarket chain.
Sijakataa kama tunapost ila sio kushadadia kama mshadadiavyo.Ila mkiyajenga hapo Vumbistan mnajaza mipost humu sivyo?🤣
Kama kawaida mkifinywa lazima mshift goal post, nilisema bidhaa kwa supermarkets ni cheaper than kwa duka ndogo za mtaa, mambo ya maandamano umetoa wapi sasa?Kila kitu kinaundwa ili kufikia raia wa rika zote.
Kama vitu ni cheaper kwa malls kwanini mnaandamana vyakula kupanda bei!??
Unaweza ukanipa jibu!?
Sisi sio mabanda tu bali HADI MASOKO MAKUBWA vitu bei ni rahisi saanaaa.
Je masoko ya serikali nayo ni informal!?
Ndio maana nikamwambia jamaa yako sisi tumelenga masoko ya bidhaa sio hizo malls.
Nimeshift goals in how buddah!?Kama kawaida mkifinywa lazima mshift goal post, nilisema bidhaa kwa supermarkets ni cheaper than kwa duka ndogo za mtaa, mambo ya maandamano umetoa wapi sasa?
Kwikwi kwahiyo unataka tulinganishe county nzima yenye senator kabisa na kimji Cha mwisho kabisa kinachotegemea korosho?Ukinionyesha four streets in Mangaka town with paved roads kama hizi za Marsabit nafunga hii account sahii. 🤣 🤣 🤣 Towns zenu mingi zimejaa unpaved roads, streets ni vumbi tupu.
View attachment 3127681
Comparison ilikua bei za supermarket na za local shops, mambo ya bei kwa ujumla si ni wewe umekuja nayo while trying to force a narrative.Nimeshift goals in how buddah!?
Ndio nimekuuliza kama ni cheaper than kwenye maduka kwanini mnalalamika bidhaa ghali kiujumla??
Pia target ya serikali yetu ni kubalance gap kati ya maskini na tajiri , ndio maana ukiangalia sana imekomalia sana ujenzi wa masoko ili wale wananchi wenye mitajo midogo wameweze kuwa na sehem rasmi ya kuuzia bidhaa zao badala ya kuvutia watu wajenge malls ambazo mwisho wa siku wanafaidika wachache sana .hata ukiangalia ujenzi wa stendi kwa ajili ya kuwezesha watu wenye mitaj midogo kuweza kupata mazingira ya kuuzia biashara zao.Kila kitu kinaundwa ili kufikia raia wa rika zote.
Kama vitu ni cheaper kwa malls kwanini mnaandamana vyakula kupanda bei!??
Unaweza ukanipa jibu!?
Sisi sio mabanda tu bali HADI MASOKO MAKUBWA vitu bei ni rahisi saanaaa.
Je masoko ya serikali nayo ni informal!?
Ndio maana nikamwambia jamaa yako sisi tumelenga masoko ya bidhaa sio hizo malls.
Kwikwi kwahiyo unataka tulinganishe county nzima yenye senator kabisa na kimji Cha mwisho kabisa kinachotegemea korosho?
Barabara za hii stend tu imezizid barabara zote za marsabit
View: https://youtu.be/BPJb8fIYS3A?si=mC4qtKLXgPlM-9Q2
Doh bro mbona unajikanganya sana!?Comparison ilikua bei za supermarket na za local shops, mambo ya bei kwa ujumla si ni wewe umekuja nayo while trying to force a narrative.