Hahaha mwaka wa ngapi huu viwanja vyenu bado vinaota nyasi?We do natural grass and grass always needs time to grow, so I’m not surprised with the grass status as of now. Kenya is not Tanzania that like fake things. Artificial turfs are not our things.
Na ni Zege Tupu talking about QualityMpumbavu wewe BRT tuu ina over 200km
Dar ni mega city hizo nyingine zooooote ni vi city tuu havina uwezo wa kushindana na Dar labda dodoma.Hio ni mikocheni tu inatoshana na hiyo nyali.
Halafu acha kufananisha Dar na old town kama Mombasa. Tunakuona kichaa
View: https://youtu.be/Vd6mjXElq-s?si=nhTDtZYMwQ2VzW0Q
Mnapenda sana wawekezaji? Kisa nini?Ndio mpaka wawekezaji wa PPP wapatikane sio tuu walioo tayari Bali wenye uwezo pia.
Stori zimekuwa nyingi Kwa sababu hawajapatikana.
Mwisho hivi Mwekezaji gani atajenga Barabara Kwa vipisi vipisi kiasi hicho atapataje faida? Kwa nini isiwe Barabara yote kuanzia Dar-Moro-Dom?
Siku moja nilipiga tungi hapo naipori hapo Simmers mpaka late sana nikajichanganya kupita hapo city market alooo karibu ni rirudishe change pachafu na pananuka eti CBD hiyo 😁Mji wa kisenge sn Nairobi, kila mtu mwizi alafu mazingira ya hovyo, no improvement at all, no wonder wakipiga picha ni za mbali kuonesha vijengo viwili vitatu but they always avoid to show you horizontal infrastructures coz ziko hovyo mnoo, sisi tuna mapungufu lkn we improve our cities day in day out, ukija Dar utashangaa kila mahali ni ujenzi tu wa infrastructures, wao wamebaki vile vile na kelele zao. Huyo mchina kwenye hiyo video amesema kabisa hatowahi kurudi hiyo nchi. Kenya ni mavi alooo 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
Kiuhalisia hakuna faida ya malls economically.If you think Zambia has more malls than Kenya then you've clearly never been to both countries.
Alafu ni kawaida yenu kubash kitu ambacho hamna. Leo mnasema mall zinaharibu uchumi, kesho mall ikianza kujengwa kwenu Kila siku picha humu.
Magufuli aliamua tu siku moja akajenga Kimara mpaka Kibaha 19km, angekuwepo mpaka leo hio barabara ingekuwa ishafika Chalinze.Mnapenda sana wawekezaji? Kisa nini?
$3bn haiwezi tengwa kufikisha njia 6 Morogoro na kujenga Six way lane outer rings roads kwenye mikoa yenye traffic kubwa ya magari kuingia na kutoka. Mbona JNHPP iliwezekana, Busis iliwezekana, ufufuaji wa ATCL uliwezekana, MAGUFULI CITY iliwezekana.
Ndio tushindwe hizo. Ikiwa mnakusanya sijui $2bn kwa mwezi why msitenge $100m kila mwezi kwenye kujenga Dar Moro Expressway.
Mbona Kimara Kibaha iliwezekana kabisa plus Mkandarasi ni wa Ndani Estim Construction? Mbona tukilipa pesa inazunguka hapa hapa, Mind you now wachina ni wengi hapa hawatakua na shida for Equipment Hire.
Priority, PPP ufala tu. PPP zifikiriwe nchi ikiwa na stability ya uchumi not now mtu aje na kamtaji mbuzi kuvuna kwenye rasmali za nchi za Matrilion.
Mambo ya sijui kusubiri wawekezaji JNHPP tusingekua nayo, Railway tungekua na Mtungi wa chang'aa, Umeme ungekua kero, Airports zingekua zimechakaa, Tungekua bado tunazunguka Kenya kuingia mara kutokea Arusha, EACOP ingeenda, Kuhamisha makao Dodoma zingekua story.
Tukitaka naendeleo ya Kweli yenye tija ishaonesha we Have to DO IT OURSELVES, HAKUNA MTU WA NJE (MWEKEZAJI) anaweza FANYA MAMBO MAKUBWA KWA NCHI unless hii NCHI INAJITAMBUA (LIKE WEST) Na KUJITAMBUA KUNAKUJA KWA KUONESHA UNAJIWEZA BILA MSAADA WOWOTE.
Sisi Nyerere katika malezi alitukuza kifikra katika kujitegemea, kujiamini, uzalendo na identity yetu kama taifa hao wengine walikuzwa kama watumwa na expendablesAisee nikisema hapa Afrika Tanzania ina wana diplomasia bora kuna mbuzi katoliki wanabisha.
Huyu mama katoa nondo ngumu sana.
Hasa aliposema "hatutawaliwi kikoloni akilini" aisee huyu mama nimempa maua yake.
Sawa. Umeshinda.🤣🤣🤣Visit Zambia my Friend.... zambia has over 500 Shopping malls.
Lusaka alone ina Malls kuliko kenya nzima.
Lakini kama nilivyosema Malls zinaharibu local economy zikiwa nyingi. Bora complex, plaza za kupangisha watu lakini sio malls maana hujaza mara nyingi famous brands sio local brands
Tanzania has a lot of Complexes, Shopping Centres na stores which are owned by local Tanzanians
Nakwambia hio nyali ukiiona haina tofauti na Mikocheni labda tuongeze na mbezi chini kidogoDar ni mega city hizo nyingine zooooote ni vi city tuu havina uwezo wa kushindana na Dar labda dodoma.
Sio Mara Tatu?Mwanza ni mara mbili ya Mombasa kwa ukubwa
Hapa bongo mtu unapiga tungi mpaka unasahau na huibiwi. Mambo ya kuibianq simu kwa kunyanganya yashapitwa na wakati. Sasa hivi Kila mtu Yuko busy kutafuta Hela. Mwakani utasikiaSiku moja nilipiga tungi hapo naipori hapo Simmers mpaka late sana nikajichanganya kupita hapo city market alooo karibu ni rirudishe change pachafu na pananuka eti CBD hiyo 😁
Malls unakuta imejengwa na mtu mmoja na anayefaidika ni yeye na wafanyakazi wake huku kwenye maduka unakuta Kuna maduka mengi na wanafaidika wengi sana.Kiuhalisia hakuna faida ya malls economically.
Sio kitu kinachowagusa rika lote la raia.
Ni kitu luxurious tu.
Kitu muhimu masoko ya bidhaa raia wapate bidhaa kwa affordable price.
Humo katika malls raia wa chini hawezi gusa pia hata raia wa juu ni wanatapanya pesa.
Ikijengwa sawa tutapost ila sio kushadadia kama wengine mnavyoshadadia.
Muda mwingine PPP inakuwa Bora kuliko kuweka Hela yako pamoja na ubora wa huduma unaongezeka.Magufuli aliamua tu siku moja akajenga Kimara mpaka Kibaha 19km, angekuwepo mpaka leo hio barabara ingekuwa ishafika Chalinze.
Those are part of 400km tarmacked roads in Dar. Ama hizo BRT zilijengwa in places with no tarmacked roads before?😂😂Mpumbavu wewe BRT tuu ina over 200km
Mombasa saizi yake ilemelaSio Mara Tatu?
I’m only stating the facts in your government statistics books.You think people are stupid like you 🤣 🤣 🤣 🤣
Zambia 🤣 🤣 🤣 Enyewe we ni fala.Visit Zambia my Friend.... zambia has over 500 Shopping malls.
Lusaka alone ina Malls kuliko kenya nzima.
Lakini kama nilivyosema Malls zinaharibu local economy zikiwa nyingi. Bora complex, plaza za kupangisha watu lakini sio malls maana hujaza mara nyingi famous brands sio local brands
Tanzania has a lot of Complexes, Shopping Centres na stores which are owned by local Tanzanians