Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

My friend mimi nimekuwekea ranks kubwa sana za UN wewe unaweka ma manager. Ona sasa hapo unaweka manager wa bank iliyoko Rwanda. You have to be serious my friend.
Anyways ngoja nikupigilie

  • Pro Ibrahimu Lipumba (Consultant of Ministry of Foreign Affairs Finland)
Ninataka nyadhifa kama hizo. Ukiongelea managers wapo wengi sana hapa Tanzania. Hatuwezi hata kuwahesabu.
ww uko na shida kubwa sana. hio Bank ya Rwanda hata ukienda kuomba kazi ya kufagia pekee yake hupati hata utumie mganga gani. kumbuka huyo ni Mkenya, tena CEO wa benki kubwa kabisa Rwanda.
sijasema ulete Manager wa Acacia au Makinikia. Nilitaka ulete Tz's top brain Exports.
 
repost:
this post is for kenyans only:

while you are bragging about your universities over petty issues of beautiful buildings and blablabla,here is a short list of international (non tanzanians) famous alumni of university of dar es salaam who went to hold powerful positions in their countries including head of state.
[emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116]
23d309517f25789a4b199faec472720c.jpg
2edf8a82fe30342b3961a07b63b3ab49.jpg
3d1225d196250e2888edebde91036f2c.jpg
4bc0b0d954091efecd7ec052f8f1aa51.jpg
a7c351f0f25cdde05a2e87b5da712b0e.jpg
56d5650f3683493d8f34a353d75a6346.jpg
b486bd0f9b3eff3374f5dcf8d4a7b9ee.jpg
31fef15ecca9cfb34731cede866292fa.jpg


so i challenge all kenyans to show us any international (non kenyan) alumni from universities of kenya,who became the head of state or a CEO in his/her country.

nasubiri majibu sihitaji povu...ila kama huna majibu,basi ruksa kutoa povu.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Ha haaa unapoelekea sasa ni kumention hadi vibarua wa kenya walioajiliwa kwenye makampuni ya nnje.....

Ha haa dah ushapotea usiwasahau hawa wapo nchi kadhaa nhoja nikusaidie kuongeza list yenu

5.onyango oyenu...(chief producer at MJ Record tanzania

6.Wanjala okenu (director manager I&M bank U.S.A

7.Gilbert Odinga (computer engeneering Angola

8.Sendi Kenyatta (marketing manager UN Foundation finland

9.Peter Ojwani (movie director HOLLYWOOD

[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji3] [emoji12] [emoji12] Wakenya bwana jush nei
Hao watu sioni CV yao kwa Google
 
ww uko na shida kubwa sana. hio Bank ya Rwanda hata ukienda kuomba kazi ya kufagia pekee yake hupati hata utumie mganga gani. kumbuka huyo ni Mkenya, tena CEO wa benki kubwa kabisa Rwanda.
sijasema ulete Manager wa Acacia au Makinikia. Nilitaka ulete Tz's top brain Exports.
My friend kuwa manager wa bank ni kuchoshana tu. Duniani kuna banks nyingi sana. Unachotaka kuleta hapa ni utoto. Mimi ninakuwekea recognized organization any where in the world. Wewe unaniletea Bank ya Rwanda!!? Shame on you.
Hapa nikuwekea watanzania ambao ni Managers kwenye international companies hatutapata pa kuweka.
Wewe Nimekuwekea. Nitajie mkenya yoyote ambaye amewahi kuwa kwenye top level ya UN organs.
 
kaka tangu nujiunge na jf miaka saba iliyopita(2011),sijawahi kukimbia mjadala.waulize wakenya wa siku nyingi hapa jf(likes of nairobiwalker) watakuthibitishia.

ukiona sipo active au sipo online,fahamu kwamba nimebanwa tu majukumu ya kulijenga taifa.

lakini pia ukiona sijishughulishi na post za mtu,fahamu ni kwasababu nimempuuza mtu huyo.

nimempuuza kwasababu mbalimbali, yawezekuwa uwezo wake ni mdogo katika kujenga hoja au kwasababu ana ujinga fulani.

watu kama hao huwa sipotezi wakati wa kujadiliana nao,nikifanya hivyo,wanaotufatilia watashindwa kutofautisha kati ya mwerevu na mjinga.watatuchukulia wote wajinga.[emoji23]
lol. says a 40something year old fella. ww kwanza umejaa utoto mwingi sana kama hujui
 
Name of the Bank?
Not only banks, Many organizations and Companies. Acha utoto bana. Watanzania wengi sana wameajiliwa kwenye makampuni mengi tu duniani. Nioneshe top level kwenye UN organs. Mbona unakwepesha.
Utaanza kutaja wakuu wa shule waliotoka kenya sasa.
 
Name of the Bank?
Amka janja........hata haujishtukii huo unaoleta ni ukid ...

Hebu zindua brain yako hiyo hauna chakulinganisha hao wakimbizi wa kenya na wprld international leaders from tanzania bora ukaushe tu
 
Amka janja........hata haujishtukii huo unaoleta ni ukid ...

Hebu zindua brain yako hiyo hauna chakulinganisha hao wakimbizi wa kenya na wprld international leaders from tanzania bora ukaushe tu
Amina Mohamed alijaribu kujitupa huko aliangukia pua. Mpaka sasa wakenya hawana hamu.
 
Not only banks, Many organizations and Companies. Acha utoto bana. Watanzania wengi sana wameajiliwa kwenye makampuni mengi tu duniani. Nioneshe top level kwenye UN organs. Mbona unakwepesha.
Utaanza kutaja wakuu wa shule waliotoka kenya sasa.
My friend... hujui kujadili. Huko kote tulikuwa tunakuja. That is why nikakwambia sitaki wanasiasa. Secretary General wa UN ni Mkenya
Mukhisa Kituyi - Wikipedia
 
Amina Mohamed alijaribu kujitupa huko aliangukia pua. Mpaka sasa wakenya hawana hamu.
Infact many Kenyans celebrated her loss kama huna habari (i included). the Corrupt UhuRuto used a lot of taxpayers money to bribe countries to vote for her
 
Back
Top Bottom