Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

BABA Taifa Mzee Jomo Kenyatta monument the best
Capture5.PNG
 
Hawana kitu..hafu chaajabu unaqwza ukachunguza vizuri hao wakawa ni raia ambao wamekulia nnje ama kuzaliwa kabisa ......ila sababu ni wanachimbuko la kenya ....usishangae ukawekewa hadi obama hapa
hahaha... fvckin loser.... Losermatic
 
PINNACLE is under construction, the crane is moving guys!!!!! 330 metres in upper hill is just a staggering height !!!!
 
Sasa hivi amepotea hawezi kurudi tena.
nipotelee wapi wakati nimekuamsha asubuhi nikakwambia leo niko na ww.... wewe umeburuka tu ni kama uko na hangover hata hujielewi mara waanza kuleta viGlass buildings.... nilikwambia ukuje ukiwa sober.... wacha kubwatuka
 
nipotelee wapi wakati nimekuamsha asubuhi nikakwambia leo niko na ww.... wewe umeburuka tu ni kama uko na hangover hata hujielewi mara waanza kuleta viGlass buildings.... nilikwambia ukuje ukiwa sober.... wacha kubwatuka
Naona povu zito mdomoni. Nilikuwa nafanya kazi dogo. Nakusubiri uliletee hiyo orodha. Naona unapiga domo tu hapa hutaki kuleta.
 
nipotelee wapi wakati nimekuamsha asubuhi nikakwambia leo niko na ww.... wewe umeburuka tu ni kama uko na hangover hata hujielewi mara waanza kuleta viGlass buildings.... nilikwambia ukuje ukiwa sober.... wacha kubwatuka
tangu tuwafunze kiswahili kitamu cha tz,siku hizi mmekuwa watu wa kurusha vijembe kama wadada wa pwani ya east africa.
 
Naona povu zito mdomoni. Nilikuwa nafanya kazi dogo. Nakusubiri uliletee hiyo orodha. Naona unapiga domo tu hapa hutaki kuleta.
already nimekuletea waKenya watatu na link zao pia.... fuatilia io format niliokuletea ili tuweze kusonga mbele.
kama ni ngumu, kuja na format yako tupate kuendelea
 
tangu tuwafunze kiswahili kitamu cha tz,siku hizi mmekuwa watu wa kurusha vijembe kama wadada wa pwani ya east africa.
Kidoda.... I speak 3 languages fluently.... I.e English, Swahili and German.
 
Back
Top Bottom